Anna Mghwira ni Zaidi ya Jembe shambani

Anna Mghwira ni Zaidi ya Jembe shambani

Viva mama ANNA E MGWHIRA usitishwe na nyomi wala mafuriko bandia. Kuzikwa na wengi sio kigezo cha kwenda mbinguni, oct. 25 kura zetu kwa mama ANNA E MGWHIRA. Piga chini CCM A na B chagua misingi ya kizalendo
Nyomi nzito ni hoja za kujenga nchi yetuna hizo hazitishi, zinatia moyo kujua wako watu wanaipenda Tanzania na wanaipigania. Nyomi za wingi wa watu hizo ni mbwembwe tu.
 
Habari za leo wakuu wangu.Nimefurahishwa sana na huyu mama mgombea urais kupitia ACT wazalendo kwa sera zako.she is wise mnyenyekevu na kuthubutu ili hali chama ni kipya halafu kupewa mmama kwa position kubwa hv imenipa moyo sana.Mimi ni team Lowasa lakini kwa hili nampongeza Zito kwa ukomavu huu.One day rais wa tz atakua mwanamke kwa dalili hizi.hongera sana mama kwa kuthubutu.
Amina. Nchi hii ni ya wanawake na wanaume. Kila mwenye wito na Karama akipewa nafasi sawa, htutauliza jinsi yake. Tutauliza uzalendo na utashi wake kuongoza.
 
Back
Top Bottom