feis buku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 2,342
- 676
wanafanya nn nnje ya nchi???Anne ana watoto wawili wa kiume, wote wameoa na wana watoto. Lakini wapo nje ya nchi.
wanafanya nn nnje ya nchi???Anne ana watoto wawili wa kiume, wote wameoa na wana watoto. Lakini wapo nje ya nchi.
who cares?
I cant imgine being on her top!!!!
Alipandikizwa Huyo...
Hivi Anna Makinda ameolewa? Anna watoto?
Kuwa mswahili ni taabu kwelikweli...Oprah Winfrey pamoja na utajiri na umaarufu wote alionao, hana mtoto na wala haumizi kichwa kwa hilo, na wenzake Wamarekani wala hawana muda wa kujadili hayo, wao wapo busy kufikiria jinsi ya kwenda kwenye Mars, kwenda mwezini, kutafuta tiba za cancer, ukimwi, ebola kutengeneza air bus za kubeba abiria elfu moja kwa safari moja...
Sie waswahili a.k.a wabongo wenye bahati zetu na tuliobarikiwa (Mungu atupe nini)........kazi yetu kubwa ni kukaa barazani kucheza draft na karata, kunywa kahawa, kujadili siasa na EPL, kujadili nani ana mtoto nani hana...na wala wazungu hawatuulizi....tukitaka misaada wanatupatia.
Na ningeshauri na hili la spika mlipeleke bungeni ili tuone mjadala motomoto......muda si tunao...kazi wazungu watatufanyia wakimaliza watatuletea matunda/mazao.
yaleyale ya kusema,eti mungu alimpenda mwanawe mpaka akamtoa auliwe msalabani..hivi unaweza kumpenda mwanao kisha umtoe auliwe,upendo wa wapi huu?
Aliyekwambia Oprah hafatiliwi nani? unajua yupo katika list ya watu 8 maarufu wanaovuta bangi kwa kuihusudu, yupo na wakina Wizzy Khalifa, Miley Cyrus, Snooop Lion n.k
Marekani na Ulaya upaparazi unalipa, ukiwapatia TMZ habari yenye ushahidi unalipwa vizuri.
Mtu ukiwa maarufu lazima watu watake kukufahamu nje ndani.
Hapa mada ni kuhusu spika kuwa au kutokuwa na mtoto...na ndicho nilichocomment mimi....kwamba ni utashi wake binafsi....na ndio nikatoa mfano wa Oprah, asivyowanyima Wamarekani wenzie usingizi, coz wanaheshimu na kuelewa nini maana ya maisha binafsi.
Sina tatizo mtu kuja na stori kwamba spika aliiba choclate supermarket, au alimpiga kibao mlinzi wake wa getini...la hasha...ila hili la kuolewa au kutoolewa......kuwa na wa/mtoto au kutokuwa nao....mmmmh......hebu tufanye kazi tumuache mama yetu alale.
Mtoto wa mwenzako ni wako...so hata mimi ni mtoto wake.