Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,227
- 128,993
Kuna maneno ya siri yule TB Joshua alimwambia jamaa 'yangu' fulani kuhusu utabiri fulani ambao sio busara kuusema kwa sababu sometimes kauli huumba! .Ngoma ikivuma sana hupasuka.
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...
poleni sana,naona jamaa yenu anawanyoroshaHata South Africa baada ya uhuru walitengeneza Tume ya usuluhishi na upatanishi lengo ikiwa ni kufuta uhasama na kuleta umoja……hapa kwetu baada ya uchaguzi……???
You choose!Kwa hiyo mimi hapo ni wise ama fool?
Anawaona wa chadema tu kwamba wakifanya mkutano watakosa muda wa Kazi......Jana ulikuwa mkutano wa Ccm haswa na walikuwa wametandika matambara yao ya kijani na njanoWale wanaohudhuria mikutano yake wanafanya kazi saa ngapi?
Kama ilikuwa siri Pasco uliyajuaje? Nitumie kwenye Pm basi maana andiko hili kwenye mabano linanipa shida kidogo (Kuna maneno ya siri yule TB Joshua alimwambia jamaa 'yangu' fulani kuhusu utabiri fulani ambao sio busara kuusema kwa sababu sometimes kauli huumba! .
Naweka kumbukumbu ya bandiko hili, siku ya siku nitakukumbusha na kukueleza TB Joshua alitabiri nini! .
Pasco
Mkuu toa hint kidogo, tafadhaliKuna maneno ya siri yule TB Joshua alimwambia jamaa 'yangu' fulani kuhusu utabiri fulani ambao sio busara kuusema kwa sababu sometimes kauli huumba! .
Naweka kumbukumbu ya bandiko hili, siku ya siku nitakukumbusha na kukueleza TB Joshua alitabiri nini! .
Pasco
Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara
Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake..huyu ni mwovu
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe....dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha..karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano
Je tunatengeneza ama tunabomoa?
Je tunahubiri amani ama visasi?
Je tunaeneza ustawi au anguko?
Je Tunafundisha hekima au upuuzi?
-hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
Mwaka wa kuweweseka mpk miaka mitano ntakua mmenyooka
Mwenyekiti CCM JF