Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,947
- 54,240
Si kweli.Ndiyo unazidisha kutupa mori wa kutafuta mahela.Siyo kila jibu lisilokupendeza ulichukulie kwa ubaya.Yaan,nahisi naumiza mioyo ya wapambanaji aisee 🚴
Si kweli.Ndiyo unazidisha kutupa mori wa kutafuta mahela.Siyo kila jibu lisilokupendeza ulichukulie kwa ubaya.Yaan,nahisi naumiza mioyo ya wapambanaji aisee 🚴
🤣❤️❤️❤️❤️🥰😘🙏Si kweli.Ndiyo unazidisha kutupa mori wa kutafuta mahela.Siyo kila jibu lisilokupendeza ulichukulie kwa ubaya.
Kulalamika ni mbiu ya kisasa inayoamsha ari katika hadhira ya kimtandao!Am so sorry,nisamehe bas.Mi mwenyewe mambo taiti balaa,ila naona kulalamika katika taifa hili hakujawahi tusaidia mkuu.Very sor Kamanda
Serikali inawajibika kufunga mipaka chakula kisiende nje ya nchi!Hizi bei za mafuta zinazopanda tofauti na soko la dunia linaenda iangamiza Tanzania.
Mafuta husababisha bei za bidhaa zote kuwa juu sababu mafuta ndio hutumika katika kusafirisha malighafi, bidhaa, kuendesha mitambo.
Ongezeko la bei linaenda muumiza mtumiaji wa mwisho, hivyo ili kujikwamua, mtumiaji wa bidhaa atapunguza idadi ya ununuzi wa bidhaa husika, akipunguza manunuzi maana yake mtengenezaji atakosa pesa za kuendesha kiwanda, hivyo kiwanda kitapunguza wafanyakazi ili kuendana na uhalisia wa soko.
Kiwanda kikipunguza wafanyakazi, maana yake wasio na ajira wataongezeka
Wakiongezeka maana yake manunuzi yatapungua zaidi... Viwanda vitafungwa ili kutoendelea pata hasara..
Je kama nchi tumejipangaje?
Tujadili
Mbona Tayari !Hizi bei za mafuta zinazopanda tofauti na soko la dunia linaenda iangamiza Tanzania.
Mafuta husababisha bei za bidhaa zote kuwa juu sababu mafuta ndio hutumika katika kusafirisha malighafi, bidhaa, kuendesha mitambo.
Ongezeko la bei linaenda muumiza mtumiaji wa mwisho, hivyo ili kujikwamua, mtumiaji wa bidhaa atapunguza idadi ya ununuzi wa bidhaa husika, akipunguza manunuzi maana yake mtengenezaji atakosa pesa za kuendesha kiwanda, hivyo kiwanda kitapunguza wafanyakazi ili kuendana na uhalisia wa soko.
Kiwanda kikipunguza wafanyakazi, maana yake wasio na ajira wataongezeka
Wakiongezeka maana yake manunuzi yatapungua zaidi... Viwanda vitafungwa ili kutoendelea pata hasara..
Je, kama nchi tumejipangaje?
Tujadili
Kama uliwasaidia wakulima kununua mbolea ya shilingi Laki kwa mfuko shawishi kuzuia Chakula kisitoke njeSerikali inawajibika kufunga mipaka chakula kisiende nje ya nchi!
Fanyeni kama Sri LankaHizi bei za mafuta zinazopanda tofauti na soko la dunia linaenda iangamiza Tanzania.
Mafuta husababisha bei za bidhaa zote kuwa juu sababu mafuta ndio hutumika katika kusafirisha malighafi, bidhaa, kuendesha mitambo.
Ongezeko la bei linaenda muumiza mtumiaji wa mwisho, hivyo ili kujikwamua, mtumiaji wa bidhaa atapunguza idadi ya ununuzi wa bidhaa husika, akipunguza manunuzi maana yake mtengenezaji atakosa pesa za kuendesha kiwanda, hivyo kiwanda kitapunguza wafanyakazi ili kuendana na uhalisia wa soko.
Kiwanda kikipunguza wafanyakazi, maana yake wasio na ajira wataongezeka
Wakiongezeka maana yake manunuzi yatapungua zaidi... Viwanda vitafungwa ili kutoendelea pata hasara..
Je, kama nchi tumejipangaje?
Tujadili
HUYO NI DADA NDIOMwanaume kuingilia Mambo ya wengine izo ni dalili za kidada
Na watawala wanafanya watakavyoLabda pengine unaongelea uchumi wa wakubwa na walamba asali lakini sisi walalahoi tupo hoi bin taabani kama tumepigwa nusu kaputi tunasubiria oparesheni tu.........
Uko mbali ,cheki zenji tu .Kwani nchi jirani yauzwa bei gani
Tanzania si kisiwa. Nchi nyingi zimeathirika , hali ya uchumi duniani si nzuri. Serikali yetu imeweka ruzuku kwenye bei ya mafuta lakini haitoshi - inatakiwa iongezwe ili kusaidia watu wa hali ya chini - walitumia kigezo gani kwamba Tsh 200 inatosha kama ruzuku wakati mafuta yanaendelea kupanda bei? Vile vile serikali inatakiwa kubana matumizi - vikao viendeshwe kwa "Zoom ", pesa za kufanyia sherehe zipelekwe kwenye ruzuku ya petroli, pesa za safari za Viongozi na wabunge ziende kwenye ruzuku ya petroli, pesa za warsha na mafunzo ya wafanyakazi serikalini ziende kwenye ruzuku ya petroli, Viongozi wasihamishwe kipindi hiki ili kubana matumizi. pesa yoyote inayobanwa serikalini iende kwenye ruzuku ya petroli.Hizi bei za mafuta zinazopanda tofauti na soko la dunia linaenda iangamiza Tanzania.
Mafuta husababisha bei za bidhaa zote kuwa juu sababu mafuta ndio hutumika katika kusafirisha malighafi, bidhaa, kuendesha mitambo.
Ongezeko la bei linaenda muumiza mtumiaji wa mwisho, hivyo ili kujikwamua, mtumiaji wa bidhaa atapunguza idadi ya ununuzi wa bidhaa husika, akipunguza manunuzi maana yake mtengenezaji atakosa pesa za kuendesha kiwanda, hivyo kiwanda kitapunguza wafanyakazi ili kuendana na uhalisia wa soko.
Kiwanda kikipunguza wafanyakazi, maana yake wasio na ajira wataongezeka
Wakiongezeka maana yake manunuzi yatapungua zaidi... Viwanda vitafungwa ili kutoendelea pata hasara..
Je, kama nchi tumejipangaje?
Tujadili
Ni hatariiUko mbali ,cheki zenji tu .