HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,258
- 103,420
Hizi bei za mafuta zinazopanda tofauti na soko la dunia linaenda iangamiza Tanzania.
Mafuta husababisha bei za bidhaa zote kuwa juu sababu mafuta ndio hutumika katika kusafirisha malighafi, bidhaa, kuendesha mitambo.
Ongezeko la bei linaenda muumiza mtumiaji wa mwisho, hivyo ili kujikwamua, mtumiaji wa bidhaa atapunguza idadi ya ununuzi wa bidhaa husika, akipunguza manunuzi maana yake mtengenezaji atakosa pesa za kuendesha kiwanda, hivyo kiwanda kitapunguza wafanyakazi ili kuendana na uhalisia wa soko.
Kiwanda kikipunguza wafanyakazi, maana yake wasio na ajira wataongezeka
Wakiongezeka maana yake manunuzi yatapungua zaidi... Viwanda vitafungwa ili kutoendelea pata hasara..
Je, kama nchi tumejipangaje?
Tujadili
Mafuta husababisha bei za bidhaa zote kuwa juu sababu mafuta ndio hutumika katika kusafirisha malighafi, bidhaa, kuendesha mitambo.
Ongezeko la bei linaenda muumiza mtumiaji wa mwisho, hivyo ili kujikwamua, mtumiaji wa bidhaa atapunguza idadi ya ununuzi wa bidhaa husika, akipunguza manunuzi maana yake mtengenezaji atakosa pesa za kuendesha kiwanda, hivyo kiwanda kitapunguza wafanyakazi ili kuendana na uhalisia wa soko.
Kiwanda kikipunguza wafanyakazi, maana yake wasio na ajira wataongezeka
Wakiongezeka maana yake manunuzi yatapungua zaidi... Viwanda vitafungwa ili kutoendelea pata hasara..
Je, kama nchi tumejipangaje?
Tujadili