Anguko la January Makamba

huyo kijana anatamani uwaziri nishati na madini mnafiki tu.

Kumbukeni kuwa ana deni la $ millioni moja alizokopeshwa na shemejie alizotumia kumuondoa Shelukindo na bado hajazilipa; akipata huo uwaziri kwanza hawezi kusafiri kwenda U.S.A. kwani ana kesi [cyber crime] na mtoto wa Rockfeller anamgoja akitua tu akamatwena pili itabidi aanze na wizi kama Ngeleja na Maige ili kupata mshiko wa kulipia deni!! Sasa mambo ndio hayo nchi itaendelea kweli?
 

January is the future hope for this great nation
 
is a total disgrace and a shame to the juvenile elite.
 
 
umeona heee kinataka uwazir nadhan hata wakuu wa kaya watakatoxa
 

Afadhali ya L. Lusinde!!!!!!!!!!!
 

This is too long.......kama unaamini hivi ungeweka tu uwezo wake wazi kama tujuavyo uwezo wa hao unaomuambataanisha noa kama ICONS basi......

Na hapo kwenye blue ndo umemmaliza kabisa............hajapitia yoooteeee hayo ndo maana maswali yakuwa mengi kuliko majibu
 
hivi kuna ulazima gani wa watoto nao kuwa viongozi kama baba zao..hapo ndipo ninapopata kichefuchefu..kwani hakuna wengine wa kuongoza..tumejaa tele lakini kubaniana na kupeana nafasi kwa vilaza ndio kunaendelea..

jamani, mkuu wa kaya hana tena mawaziri zaidi ya hawa wanaochonga sana runingani. sintashangaa sana February, ooops sorry, January kuwa waziri wetu wa nanihii..... subiri list hiyo inakuja very soon.
 
Tuone uwezo wake kisiasa madogo wanataka vitu vikubwa kuliko uwezo wao.
 

you re right tena sana..angeungana na zitto bado angeitwa barazani..lkn hata huko aliko sasa yu kitanzini na sis huku kumng'oa ktk list ya ya wapigani, badala yake atafanya kama maige, aibe..ni wakati wa mwisho personality kwishaaa
 

Kama unafikiri wanaosema this is the end of the guy let us wait and see what he will achieve. Si amepewa madaraka kwenye wizara ambayo alikuwa akipiga kelele kila kukicha!!!!!. Atakutana na mikataba mizito iliyofungwa kifisadi ukicheza vibaya tu serikali inawajibika kuwalipa hao mafisadi pesa za ajabu. Kwanza atakutana na system ambayo imeoza je ataweza kufumua uozo uliojaa huko. Umeme na madini zitaendelea kuwa sekta ambazo mchango wake kwa uchumi wa nachi na kwa wananchi ziatkuwa na maswali mengi!!!! Let us go for magwanda and runaway from the Magamba's
 
january was my first choice tena mbele ya ZITTO
ILA KWA SASA NAONA NAFUU UWE NA WATU KAMA SOFIA SIMBA kuliko kuwa na JANUARI

JANUARI kajiaribia sana na kwa kifupi kajimaliza sitokaa nimwamini tena

big up zitto
Nimependa hapo kwenye red... kimsingi nakubaliana nawe mkuu
 

Mkuu nasikia dada yake aligongwa kitaalam na huyo mzungu. na kuna sms ilinaswa, naweza ipata hiyo sms.
 
Na sasa ameingizwa kwenye cabinet, sijui tutarajie nini
 
Guys, give him the benefit of the dough, try him first and lets what the outcome will be keep in mind that, this's his very first cabinet post and I dont think we're doing him any favour(dont mean that he needs it) by judging him waaay front without seeing him doing anything yet. Acheni ulolani(whtvr that means), mnajiita GREAT THINKERS, do you really think first before touching tht keyboard? WHT I THINK IS... give him a little time FIRST, let him at least put drapes in his new office then you can start pekualing him mnavotaka but to just jump in conclusion tht he's copy ya yaliyojilia or he's sijui a coward, that's not fair. Give him a little time, another chance kwa niaba ya...and see him make changes from within.

Peace.
 

Hapo hakuna mtu. Ni kama baba yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…