kama walivyokwishachangia wengine, siko mbali nao sana. Huyu kijana mimi binfasi sikuwahi kumuweka kwenye list ya viongozi wazuri, nilikua namchukulia kama Nape tu. Kuna maeneo anafanya kazi vzr lakini huwezi kutegemea mtoto wa nyani awe kondoo, never on earth...