Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Hakuna siri tena lile anguko la CHADEMA ambalo lilitabiriwa tangu Dkt. Slaa afanyiwe figisu na kuhama CHADEMA sasa limetimia.
Kiuhalisia lazima aliyesababisha anguko hili Watanzania wanatakiwa kumfahamu maana kuna watu walijitolea mali,muda na uhai wao sababu ya hiki chama.
Kuna watu wamepigwa risasi,walilipuliwa na mabomu huko Arusha na hata kuna watu walipoteza uhai kama Marehemu Daud Mwangosi.
Alaumiwe Mwenyekiti kwa kushindwa kusimamia Chama vizuri? Alaumiwe Mwenyekiti kwa kumkaribisha Lowassa? Alaumiwe Mwenyekiti Mbowe kwa matumizi mabaya ya pesa ya Chama? Walaumiwe wanachama ambao wanamuogopa Mwenyekiti wao kumkosoa hata akifanya makosa?
Uchaguzi umeisha, CCM imeshika dola,wapinzani mjipange kwa Uchaguzi wa mwaka 2050. Maana kwa sasa kuig'oa CCM hii makini inayotekeleza ahadi zake kwa wananchi ni ngumu kuiangusha.
Kiuhalisia lazima aliyesababisha anguko hili Watanzania wanatakiwa kumfahamu maana kuna watu walijitolea mali,muda na uhai wao sababu ya hiki chama.
Kuna watu wamepigwa risasi,walilipuliwa na mabomu huko Arusha na hata kuna watu walipoteza uhai kama Marehemu Daud Mwangosi.
Alaumiwe Mwenyekiti kwa kushindwa kusimamia Chama vizuri? Alaumiwe Mwenyekiti kwa kumkaribisha Lowassa? Alaumiwe Mwenyekiti Mbowe kwa matumizi mabaya ya pesa ya Chama? Walaumiwe wanachama ambao wanamuogopa Mwenyekiti wao kumkosoa hata akifanya makosa?
Uchaguzi umeisha, CCM imeshika dola,wapinzani mjipange kwa Uchaguzi wa mwaka 2050. Maana kwa sasa kuig'oa CCM hii makini inayotekeleza ahadi zake kwa wananchi ni ngumu kuiangusha.