kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 497
Hii ni simple research niliyo ifanya lakini ina mashiko sana kubali au kataa lakini ndio ukweli,
Ni hivi chadema ni chama cha siasa kilicho ibuka na kujipatia wanachama wengi kwa muda mfupi sana kiasi kwamba chama kinashindwa kuwa control wanachama wake kutokana na kukosa misingi imara ya kiuongozi kuanzia ngazi za matawi,kata,majimbo mpaka taifani.hapa nina maana kwamba chama hakiku jiandaa kiuongozi kukabiliana na wingi wa wanachama walio jipatia that is why kila mtu ndani ya chama ana sauti au kwa lugha nyingine kila mtu ndani ya chama ni mbabe.
Kwa maana hii ndio maana inakua kazi rahisi sana kwa ccm kupenya ndani ya cdm na kuwarubuni baadhi ya viongozi wa chama ktk ngazi zote na hatimae hata zinapo fanyika chaguzi utakuta ccm wanashinda kiurahisi sana kwenye maeneo mengi ya mijini na vijijini.
My take:chama kichukue muda wa kuji imarisha kiuongozi kwenye ngazi zote na kujengaNIDHAMU YA KIUONGOZIkwa wanachama wote kwa ujumla,ili kuepusha hii kitu ya kila mmoja kutaka kuwa na sauti chamani.la sivyo tutaendelea kuvuana uanachama kila uchwao na tutabakia kuwa wapinzani milele.
Mungu ibariki chadema.
Historia itakuhukumu Ben....
Ni mmoja wa watu muhimu walioshiriki siasa za fitna zilizoimaliza CDM.....
Nawaonea huruma watanzania waliopoteza mda wao kwa ajili yenu....
hako ni kautafiti au ni njozi mkuu,mimi nilijua mchumi wao kasimamishwa ndo maana matumizi ya chopa tatu jimbo hasi ni kutumia sakosi yao vibaya nawashauri waachane na siasa wakawinde wanyama.
Uchaga na uslaa vimeiua chagadema mapema
mtaweweseka sana,cdm ni mwiba mchungu kwa magamba! cdm itaendelea kuwa sauti na tumaini la wanyonge!!!
mtaweweseka sana,cdm ni mwiba mchungu kwa magamba! cdm itaendelea kuwa sauti na tumaini la wanyonge!!!
msingi mkuu wa anguko la chadema ni ubaguzi wa kidini. kikanda na kikabila na kuwachukia wasomi
Chagada kwisha kabisa,,,
Lema aliapa kuchukua jimbo kalenga matokeo yake mama wa watu hata kura 10,000 alizopata 2010 wakamsababisha zipotee nakuambulia kura 5800
Buku7 fc.Mtaimba sana hizo nyimbo but hazitabadili ukweli....
CDM imeshakufa
Uchaga na uslaa vimeiua chagadema mapema
tumefika mbali jamani khaa!Ile ndege ya malaysia iliyobeba watu 239..wasio na hatia wakapotea.Bora ingewabeba wajumbe(wabunge) wa katiba ikapotea nao kuliko vitu wanavyofanya Bungeni.
wanakalenga waliwaona wapuuzi. kama hawawaamini wao wenyewe kulinda kura zao mpaka wawaletee watu toka arusha kwa nini wao wawaamini na kuwapa kura zao? wakashituka wakaona hawa chadema ni changa la macho wakasepa. (many thanks to wana-kalenga)Chagada kwisha kabisa,,,
Lema aliapa kuchukua jimbo kalenga matokeo yake mama wa watu hata kura 10,000 alizopata 2010 wakamsababisha zipotee nakuambulia kura 5800