Anguko la CHADEMA hili hapa

Anguko la CHADEMA hili hapa

Wenzako wenye akili wanazungumzia katiba ya JMT na nini hatima ya nchi hii wewe bado unaendeleza mambo ya jikoni. Naona pengine katika akili yako unamlaumu MUNGU kukuumba mwanamme badala ya jike ili ufaidi ndio maana matendo yako na tabia ni ya kikanga kanga.
Nakushauri wewe kakate mauno kwenye sherehe za CCM na kupika tuu,ndiko kunakokustahili.
View attachment 150422
View attachment 150428


Sent from my iPad using JamiiForums

ha ha ha ha

hii picha nimecheka sana
 
Kwani cdm wamepoteza nn hapo kuna jimbo lao mmechukua?
Chama kimekufaje sasa? Hivi ccm kushindwa kutetea Arusha mjini ubunge na kata ndo imekufa?
 
Wewe ndiyo unafanya makosa. Yeye anajua kabisa anafanya nini. Mie pia ninajua anafanya nini. Na wewe unajua kabisa anafanya nini. Simuhukumu kwa mashambulio yake kwa Chadema.

Ila anapoanza kushambulia wenzake wakati yeye mwenyewe ana mapungufu kibao, hapo ni kiroja.

Na unajua nini? Hata yeye alijua atatukanwa sana na kafanya hivyo ili wamtukane, sasa wewe unashanga nini?

Ni sawa mie leo nianze kumshambulia hapa Lowassa, utaona Misukule wake wanavyotaka kurarua hadi screen yangu.
Ndugu yangu Sikonge , hii tukana tukana hii haimsaidii mtukanaji, haimsaidii mtukanwa wala haisaidii third party. Kama ndio hivyo ya nini basi! huoni ni bora kama unamuona mtu kakosea wewe umsahihishe badala ya wewe kuongezea kosa juu ya kosa? any way ni maoni yangu tu lakini.
 
Mwambie ukweli, kwa nini kujilambalamba? Jamaa hajui kuandika, na huo ndiyo ukweli.

Hajambo School Mate wako Samuel Sitta?
Mtela Mwampamba,

Tutendee haki japo "kiduchu," ifanyie editing post yako, iwe japo na paragraphs, bado tu unakuwa na akili za Ufipa?
 
dah, naona kaandika makolokocho

hakuna paragraph wala nini hadi macho yanauma
 
Mtela Mwampamba,

Tutendee haki japo "kiduchu," ifanyie editing post yako, iwe japo na paragraphs, bado tu unakuwa na akili za Ufipa?
kwikwikwiwkwi


mama hadi wewe umemnanga kijana wako... kweli atakua imbecile huyu

ngumu sana kukukuta unawapa za chembe wajukuu zako
 
Nasema hapana,mwenye macho haambiwi tazama,akili za mwenzio changanya na za kwako.

CCM inajenga nchi,hebu tazama hawa watendaji wanavyochapa kazi.

Viongozi wa CCM wanahangaika na kuzifahamu kisha kuzitatua kero za wana nchi,hawa wenzetu wao ni helikopta tu,mwanzo mwisho.Tutafika?

Wapinzani wanapotosha watanzania na hasa vijana.

Miundombinu ni moja ya Ilani za CCM kwa mwaka 2010,Tumeweza na bado sehemu chache tu.

Amani na Umoja ndio nguzo kuu ya watanzania chini ya CCM,wapinzani hawawezi kuleta amani,wapinzani hawana mashiko.Hivi Zambia wamepewa wapinzani,je kipi cha maendeleo ya haraka kimeletwa?si wana hifadhi kubwa kuliko zote Afrika?wapinzani hawana nia nzuri,wa vyama vyote tu iwe CDM au CUF ama hiyo UKAWA.

Tutavunja muungano au tuunde serikali 3,za nini?,kwa maslahi ya nani?,aah wapi!Somalia imeharibika vibaya sana,South Sudan na ile Sudan ya Khartoum leo zinatamaniana tena,ipo wapi Urusi ya sasa?sasa hata mmarekani ana sauti mbele ya Urusi hii na sio ile ya USSR.

Kama koti la muungano ni kero basi kero hizo zinatibika,maana hata koti likiw ana kiraka dawa ni kukata vipande vitatu?hapana,dawa ni kulishona pale tu penye jeraha na ndio tunachotaka.

UKAWA,wanatumia fedha kwa fujo,walikuwa wapi wakati wa kukusanywa kwa maoni ya Tume ya Warioba?,umaarufu kwenye mambo nyeti ya nchi ni ujinga.

Nchi haiwezi kuongozwa na mission town,nchi inapaswa kuongozwa na watu makini.Lazima tuseme tu ukweli na hata wakitukana tutapambana nao.

Hapana,lazima tujenge Muungano imara wa nchi 2 tu.Maoni ya watu 350,000 sio ya watanzania Milioni 44.Hapana nasema hapana.

Haya na tuachane na hayo sasa,twendeni tukajenge nchi.

Hongera Mhe Katibu Mkuu Kinana,hujataka kukaa ofisini na kucheza na karatasi,umeamua kuchapa kazi.

CCM NDIO NJIA KUU.
Jaribu kufanya marekebisho kwenye uzi wako usomeke kama kwenye hii post yako.
 
CCM inajenga nchi,hebu tazama hawa watendaji wanavyochapa kazi.
.

i think there is something very wrong with your head...

hebu niambie watendaji wanachapaje kazi na ni watendaji wapi sasa, wa chama cha mapinduzi au wa serikali??

aisee
tzf.jpg
 
Unamweleza nani; uongo huo, pole. Naona hata unachoongelea haukijui unaonekana kama umetumwa kuandika jambo usilolijua. Rudi kwa waliokutuma uwaulize wakueleze vizuri ndipo urudi kuja kuandika, ahsante.
 
Wamepata ujumbe japo chadema ni janga sugu la wazawa hawataki kukubali mapungufu yao.
 
Mwambie ukweli, kwa nini kujilambalamba? Jamaa hajui kuandika, na huo ndiyo ukweli.

Hajambo School Mate wako Samuel Sitta?

Tutampa darsa kama tunalowapa nyinyi humu kila siku, simlaumu sana kwa kuwa katokea hukohuko kwa vichwa maji, uliona chama cha siasa gani Duniani kikaendeshwa na DJ?

Bora huyo kastuka mapema, lakini misukule wengine kama wewe ni majanga tu.
 
Hii ni hoja inayoandikwa na mtu anayesoma aliyesoma. Kweli vijana tuna safari ndefu. Hivi hujui kuandika kwa kufuata kanuni za kawaida za uandishi?
 
mleta uzi ni uchaguzi upi ulitangulia kati Igunga name Arumeru?ukiwa mwongo,punguza ushaulifu.
 
kwikwikwiwkwi


mama hadi wewe umemnanga kijana wako... kweli atakua imbecile huyu

ngumu sana kukukuta unawapa za chembe wajukuu zako

Hilo neno "kumnanga" huwa mnalikosea maana na muktadha wake, kumnanga ni kumpamba (kumsifu) kupita kiasi, mimi sijampamba na wala sijamsifu, na kusema kweli hata post yake sijaisoma, ilivyo imenikatisha tamaa kuisoma.

Kwa ufupi nimemponda, sijamnanga hata kidogo.
 
Back
Top Bottom