cheichei2010
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 932
- 351
Naona Mahaba yako kwa Zitto Kabwe yanakufanya uandike haya.Ukweli jua kwamba Zitto mpaka muda huu hana Kazi ni Jobless,uwepo wake unaitegemea Mahakama.Kwa kuwa yeye analitambua hilo ndio maana anang'ang'ania na kulilia uanachama wake.
Tumia muda mwingi kutafakari mustakabali wa maisha yako kuliko ya mtu mwingine ambaye anakutumia kama "Kifanyio"na mwisho kutupwa.
Unajisikiaje pale watu watakapokuwa wanakuzungumzia wewe kama unavyomzungumzia Zitto?Kua basi.
Kama unataka kuona kama CDM imekufa pigania Daftari la wapiga kura liboreshwe ,sisi tulioko mtaani ndio tunajua,sio siasa zenu za chuki,ulaghai na unafiki mnazopandikiza kwa watanzania.Siku mambo yakiharibika usifikiri utakuwa salama.Kuwa upinzani sio dhambi.Wote waliopo nchi hii ni watanzania ,na wanahaki ya kuwa madarakani.Hiyo ni haki ya kikatiba.Sio ya kupewa na CCM.
Tumia muda mwingi kutafakari mustakabali wa maisha yako kuliko ya mtu mwingine ambaye anakutumia kama "Kifanyio"na mwisho kutupwa.
Unajisikiaje pale watu watakapokuwa wanakuzungumzia wewe kama unavyomzungumzia Zitto?Kua basi.
Kama unataka kuona kama CDM imekufa pigania Daftari la wapiga kura liboreshwe ,sisi tulioko mtaani ndio tunajua,sio siasa zenu za chuki,ulaghai na unafiki mnazopandikiza kwa watanzania.Siku mambo yakiharibika usifikiri utakuwa salama.Kuwa upinzani sio dhambi.Wote waliopo nchi hii ni watanzania ,na wanahaki ya kuwa madarakani.Hiyo ni haki ya kikatiba.Sio ya kupewa na CCM.