Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,109
Alafu kuna watu wanakuja na utoto wao au uzwazwa anakuuliza et umekua tajiri daahNikufatilia
Mimi huwa natumia siku ya Thursday kufanikiwa katika mambo yangu
Siri -siku hii huwa ni fasting and prayers in Muslim .
Siku ya kutembelea makaburi kwa watu wa imani ya Hindu ,budha.
So unashauriwa ukitaka kupata power itafute na manifest mambo yako
Kuhusu namba ambayo hujirudia Sana ni moja