Lighton
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 1,918
- 3,139
Wanandugu tafadhali naombeni msaada wa kufahamu juu ya mada tajwa hapo juu, maana nimeona watu wengi wakijisifu kimafanikio kwa kuhusisha namba fulani ambazo wanadai wakiziona nyakati fulani kwenye maisha yao basi ni lazima watusue.
Lakini nimesikia kuna baadhi ya watu wanasema hizi namba huwa zinatokea, kwa bahati yaani hutajua inatokea mda gani, na huwa inatokea popote pale, iwe kwenye saa, kwenye kitabu, magazeti au popote ambapo unaweza kuona namba.
Na nimesikia pia kila mtu ana namba zake ambazo akiziona basi lazima akutane na zali yaani lazima atapata bahati siku hiyo.
Mfano wa hizo namba ambazo nimesikia watu wakizisema sana mtandaoni ni 11:11, 20:20 cjajua kama kuna namba. hili swala limeleta sintofaham kwa watu wengi akiwemo na mimi.
Naombeni kujuzwa wananzengo, au labda kama kuna thredi iliwahi kunipita tafadhali naomba msaada wa linki, ili namim nipate kujua kinagaubaga.
Angel numbers nini? na ni kweli zipo?🙏
Lakini nimesikia kuna baadhi ya watu wanasema hizi namba huwa zinatokea, kwa bahati yaani hutajua inatokea mda gani, na huwa inatokea popote pale, iwe kwenye saa, kwenye kitabu, magazeti au popote ambapo unaweza kuona namba.
Na nimesikia pia kila mtu ana namba zake ambazo akiziona basi lazima akutane na zali yaani lazima atapata bahati siku hiyo.
Mfano wa hizo namba ambazo nimesikia watu wakizisema sana mtandaoni ni 11:11, 20:20 cjajua kama kuna namba. hili swala limeleta sintofaham kwa watu wengi akiwemo na mimi.
Naombeni kujuzwa wananzengo, au labda kama kuna thredi iliwahi kunipita tafadhali naomba msaada wa linki, ili namim nipate kujua kinagaubaga.
Angel numbers nini? na ni kweli zipo?🙏