Angekuwa ndiyo Lowassa...


Tukisema ukweli,
Lowasa asingeweza yafanya haya ambayo Magufuli ameyafanya
Kwanza angeingiza nchi kwenye mgogoro mkubwa wa kiuchumi ( Naamini angekopa saana)

Pili ingemchukua miaka zaidi ya mitatu kulipa fadhila kwa wale waliompiga support hususani za fedha

na kikubwa zaidi rasilimali za nchi zote zingekuwa rehani

Ni mtizamo TU
 
sikiliza wewe nyani ..

lowasa asingeanza na madawati...angeanza na walimu...


lowasa asingeanza na ndege...angeanza na madawa hospitali..


lowasa asingeanza na chato airport angeanza na mikopo ya wanafunzi..

lowasa asingeanza na ukada..and so much more
 
Siku moja nilipita karibu Na nyumba moja uswahilini nikasikia mama mmoja anamsifia mmewe;
"Mme wangu nakushukuru umefanya jambo la maana kuondoa kinyesi hicho, maana harufu ilikuwa nusu ituue".
Mbali kidogo na pale kulikuwa na watoto wawili wanaongea;
Wa kwanza, "nimekuja kwenu kwa sababu kwetu kunanukaaa!!!"
Wa pili, "kuna nini mpaka kunuke!?"
Wa kwanza, "Baba alirudi usiku kalewa kajisaidia haja kubwa sebuleni".
Nikajua Ni yule mme MTU. Lakini nikamshangaa zaidi yule mama
 
Uko wapi unafiki wangu?

Kweli ni mtizamo tu lakini wa-KIJINGA!
 
Kwenye manifest ya lowasa hakuna kufungia safari za nje, kwa hiyo asingeleta hizo swaga angefanya kazi ya kuleta maendeleo kwa mujibu wa ahadi za kwenye kampeni. Anachokifanya mukulu ni kuendesha duka kwa matukio. Na inapoelekea tunakuja kuwa ukoo wa kambale. Ref: yanayotokea Arusha nk.
 
Wapi uhandisi ulipoonekana? Kwa wanafunzi kuitwa ****** na wengine kukosa mikopo? Kwa mahosipitali kukosa dawa? Plz be realistic & objective stop being so much in love with your Party.
Nimehoji hiyo comparison
 
Ungeongezea na haya
Angezuia mikutano mpaka 2020
Angezima bunge
Angezuia Ajira
Angekwapua pesa za kagera
Na angeropoka kwa kutukana watu ingekuwaje?
 
Point!
 
Watu walisema chadema hawawezi kumchukua Lowassa,ila hapa tena wanasema Lowassa asingefanya kama alivyofanya Magufuli.
 
waki nani wampinge nani?

kama wameshindwa kupinga "bwana yule kung'ang'ania uenyekiti sembuse Edo?

kama walishindwa kupinga ujio wa waliyemuita 'fisadi' watapingaje akiwa kama rais?

siasa ni mchezo wa kitoto sana.

kama rais angekuwa Edo,CCM wangeponda kila anacho kifanya,hili la mikopo lingekuwa la Edo UVCCM wangepayuka kila siku.
Rais angekuwa Edo kwa makelele ya CCM tungejua kuwa uchumi umeshuka.

siasa tuachie wenyewe.
 
Nilicho na uhakika ni kuwa Lowasa angekuwa bora mara mia ya huyu...ingawa asingetenda sawa yote anayoyafanya huyu
 
Kwani huyo mnae musudu pamoja na kufanya hivyo mbona ndio kwanza hali imezidi kuwa ngumu mtani tofauti na watangulizi wake
 
Wangekuja na zile "Tumeweza kuondoa mfumo"
Ndio maana Lowasa anafanikiwa.
 
Mtawala yeyote ni wakumulikwa tu-awe kijani au blue/nyekundu-lazima amulikwe na akikosea apashwe. Of course kwa wale "ulipo tupo" hiyo inaweza kuwa ngumu. Watu lazima wakumbuke ahadi/manifesto (dhamira?) inaweza ikapitana na utendaji.
 
Nilishawai kuwaambia Watanzania kuwa chama ni watu na si mtu. Ccm hata wamsimamishe Yesu Kristo kwenye uchaguzi sita mpigia kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…