Angekuwa Magufuli kesho tungeamka na Breaking News ya Waziri wa michezo kutumbuliwa

Asilani abadani Magufuli asingeweza kuvumilia huu upuuzi uliotokea leo uwanja wa Mkapa. Kesho asubuhi mapemaaa! kuna mtu angetumbuliwa. Huu si uzembe tu bali dharau iliyopindukia kwa familia ya wanamichezo.

Kiungwana tu Waziri wa michezo atoke hadharani kutuomba msamaha. Na namshauri Mh. Rais nafasi km hii achague mtu wa michezo kweli kweli sio kumteua mbumbumbu asiyejua sheria na kanuni za michezo.
Sio rahisi kumtumbua kwakua mhusika ni kutoka kanda ya ziwa " bashingwe"
 
Isee kumbe kila mtu ana pengo lake ....

Mbali na madudu yote aloyafanya,lakini Mzee Baba mambo kama haya ndo yalikuwa yake.....kuna majitu majinga yanatuendesha sana.
Msitutishe
IMG_20210501_234327.jpg
 
Kwa hili Mama nimemchukia achukue hatua mapema.Uzuri Mashabiki wa pande mbili walikuwa pamoja.Ingetokea kupingana sahizi tulikuwa tuonge mengine.Hongera sana Yanga na Simba kwa ukomavu kulinda amani ya Watanzania.
 
Asilani abadani Magufuli asingeweza kuvumilia huu upuuzi uliotokea leo uwanja wa Mkapa. Kesho asubuhi mapemaaa! kuna mtu angetumbuliwa. Huu si uzembe tu bali dharau iliyopindukia kwa familia ya wanamichezo.

Kiungwana tu Waziri wa michezo atoke hadharani kutuomba msamaha. Na namshauri Mh. Rais nafasi km hii achague mtu wa michezo kweli kweli sio kumteua mbumbumbu asiyejua sheria na kanuni za michezo.
Mkuu kwani Bashungwa aliamua yeye au alipewa amri, haya sasa angekuwa haya yamefanywa enzi za mwendazake tungesikia mengi ya kulaani na maneno mengi ya kuudhi na kejeli, haya sasa KAZI IENDELEE
 
Asilani abadani Magufuli asingeweza kuvumilia huu upuuzi uliotokea leo uwanja wa Mkapa. Kesho asubuhi mapemaaa! kuna mtu angetumbuliwa. Huu si uzembe tu bali dharau iliyopindukia kwa familia ya wanamichezo.

Kiungwana tu Waziri wa michezo atoke hadharani kutuomba msamaha. Na namshauri Mh. Rais nafasi km hii achague mtu wa michezo kweli kweli sio kumteua mbumbumbu asiyejua sheria na kanuni za michezo.
Yan ww bhna unamlauma bashungwa wkt na yeye kapewa maelkezo kutoka juu,itoshe kusema Tanzania ni nchi ya hovyo,ccm na serkal yake wnaharb sana had wanaboa
 
Asilani abadani Magufuli asingeweza kuvumilia huu upuuzi uliotokea leo uwanja wa Mkapa. Kesho asubuhi mapemaaa! kuna mtu angetumbuliwa. Huu si uzembe tu bali dharau iliyopindukia kwa familia ya wanamichezo.

Kiungwana tu Waziri wa michezo atoke hadharani kutuomba msamaha. Na namshauri Mh. Rais nafasi km hii achague mtu wa michezo kweli kweli sio kumteua mbumbumbu asiyejua sheria na kanuni za michezo.
Sema ueleweke badala ya kujiambia ukaamini umewaambia wana jamvi. nini pwenti yako hapa?
 
Asilani abadani Magufuli asingeweza kuvumilia huu upuuzi uliotokea leo uwanja wa Mkapa. Kesho asubuhi mapemaaa! kuna mtu angetumbuliwa. Huu si uzembe tu bali dharau iliyopindukia kwa familia ya wanamichezo.

Kiungwana tu Waziri wa michezo atoke hadharani kutuomba msamaha. Na namshauri Mh. Rais nafasi km hii achague mtu wa michezo kweli kweli sio kumteua mbumbumbu asiyejua sheria na kanuni za michezo.
Huenda reasoning capacity yake ilikua na hitilafu. Tena kesho ni Jumapili? Ile siku yake pendwa! Dah saa hizi anawaongoza malaika kuimba kwaya huko
 
Vipi kama kamtuma yeye ...wewe kwa akili yako ya kawaida unadhani Waziri anapata wapi nguvu ya kusogeza mechi mbele...Na baadooo nchi imeshachukuliwa na mdebwedo ...watu wa Pwani...mbona tutanyooka mwaka huu...Kwani hiyo mechi haiwezi kusogezwa mbele shehe ahaa..Mimi ni Rais Mwanamke
Mh
 
Kuna mtu ameshauri Serikali vibaya kimazoea!,bila kujali maslahi ya wapenda soka.
Raia wanapaswa kuwa huru kwenda watakapo,kusikiliza watakacho,kuona watakacho ili mradi hawavunji sheria.

Serikali imezoea kupora uhuru wa raia kuamua wakitakacho,sasa leo maelekezo ya Serikali kwenda chama cha mpira imeleta madhara(Mechi imeahirishwa huku washabiki wakipata hasara ya fedha waliotoa baada ya mechi kuvunjika).
Watendaji,wamezoea kutoa ushauri wa kujipendekeza bila kufanya tathimini yenye kujali maslahi ya wengi.
BORA RAIS AFANYE MABADILIKO ZAIDI KWA WATENDAJI,KUNA MAMBO WANAYOYAFANYA HAYAENDANI NA MTAZAMO WA SERIKALI YA AWAMU YA 6.
Mkuu umeongea jambo zuri sana
 
Angekuwa, ila ndio sio...tuweke kumbukumbu sawa alimbeba Makonda kwa mbeleko imara mithili ya chuma mpaka dakika za lala salama
 
Back
Top Bottom