Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

Mambo natafuta kazi ya ualimu kwa English Medium namba yangu ni 0714954609 nipo Arusha.Kwa masomo ya Mathematics,Civic and moral,Kiswahili,History
 
Naamn na mm umenigusa sana
Ndugu yangu ahsante wapo watu wanahoji kuliko kuangalia sababu kama nafasi ipo lazima nikupe kila kitu curriculum vitae(CV), application na Certificates cjui wanajua labda ni wa ujanja
 
Natafuta kazi ya librarian au records management kwa atakayeguswa plz weka comment hapo chini.
 
Lahe hotels ya Mwanza inahitaji mlinzi kutoka JKT,dereva,barman,chef,service/waiter na mhasibu,cashier mwisho wa maombi 4.11.2018- 0655290084

Mm nahitaji nafasi ya udereva ila nipo Dar es Salaam 0692410906 Milton mushi
 
Npo kuwa yeyote hapo kasoro dereva tu,elimu yangu n advanced diploma chamsingi mshahara tu
Lahe hotels ya Mwanza inahitaji mlinzi kutoka JKT,dereva,barman,chef,service/waiter na mhasibu,cashier mwisho wa maombi 4.11.2018- 0655290084
 
Natafuta nafasi ya Ualimu wa Chuo cha Ualimu,elimu ni Bachelor degree of Education,with Arts Masomo ni History Kiswahili ingawa ninauwezo wa kufundisha masomo mengine mawasiliano +255744189384
 
Jmn msaada ninatafuta kazi ya kuuza vitu supermarket,duka la nguo au stationary yyte ile nipo mwanza
Nmb-0675725932
 
Natfta kazi za hotelini na stationary, [ ninauwezo wa kutumia computer ipaswavyo na pia ni mpishi mzuri wa chapati ] namba zangu ni 0754064990 au 0717585596
 
Tunashukuru kiongoz kwa kutuelimiisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…