BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
ni mida ya saa sita leo kama movie ya kanumba kija mmoja alipofika term 1 pale airport kumpeleka dadayake .baada ya hapo akaamua kununua tkt ya coastal kwa ajili ya mkewe ilichukua kama muda wa dk 30-40 kijana yule aitwa abdul alipotoka na kukuta gari nyeusi suzuki t657 bky ikiwa imepaki pemben ya gari yake.......
Alipokuwa akiikaribia gari yake gafla ile sizuki nyeusi ikatimua mbio za kufa mtu ...yule kijana alipokaribia akaaona taa za nyuma azipo akaanza kupiga mayowe kama wagombea wa meru wakijinadi mwisho akaingia kwenye garii akaanza kulia...aikutosha baada ya kuamka na kukuta setimila nazo azipo sio wamekwanyua azipo wameondoka na mshikio wake....aliposhuka nje kuanza kuangalia gari akaendelea na machzi loh wanawake awana dogo dada mmoja akawa anaangali akasema hee mbona n lock za ndani huna.......
Jamani nililia kwa uchungu nikhisi gari langu
swali langu likja hivi nani anpasa linda mgari yetu??
Na kwa nini kwenye parking wanadai "park on your own risk""huku watu wakilipa hela
tukiwa tunaendelea na stori za pole mtu mmoja akauliza namba zake za simu akamwambia.. Watu wakaachana tukabaki kama 8..baada ya muda akapigiwa na jamaa mmoja akidai anaitwa sele yuko gerezani akamwambia pole nasikia umeibiwa ??kama unaitaji mzigo wako apigi hiyo namba aje na laki 3 na nusu...jamani ndugu zangu tunaenda wapi ?????
Nimekaa nakuamini wezi wa haya magari wako hapo hapo airport na si kwingineko..iweje mtu ameomba namba na ni mfanyakazi wa airport gafla mtu anampigia aje na cash amemjuaje??hadi kumtaja jina
ndugu zangu wafanyakazi wa airport wezi mmewafuga hapo mkononi ni nyie wenyewe kuamua mtawasafishaje hao leo ni kwa abdu kesho watapiga gari zenu na kujuta .......
Bwana ametoa gerezani wametwaaa huzzuni za abdu ziendelee
pole kijana naamini mungu atakupa uvumilivu na hali kununu nyingine
ushauri
ni vyema sasa kwa kuwa tumejua hawa watu wanakuwa na magari nashauri tuwe tunaweka hata mawe kwenye gari yamkiniyule kaka angekuwa na mawe ya karibu angeweza kabisa kulipata gari maana ilichukua dk kadhaa kugeuka na kutoka alipopaki
mkiwa mnaleta ndugu zenu jitahdini muweke hata mawe kwenye gari incase likiwatokea mnaanza kuwarushia wakiwa wanakimbia hawa maruhani sijui wametokea wapi
polen walizwa
Alipokuwa akiikaribia gari yake gafla ile sizuki nyeusi ikatimua mbio za kufa mtu ...yule kijana alipokaribia akaaona taa za nyuma azipo akaanza kupiga mayowe kama wagombea wa meru wakijinadi mwisho akaingia kwenye garii akaanza kulia...aikutosha baada ya kuamka na kukuta setimila nazo azipo sio wamekwanyua azipo wameondoka na mshikio wake....aliposhuka nje kuanza kuangalia gari akaendelea na machzi loh wanawake awana dogo dada mmoja akawa anaangali akasema hee mbona n lock za ndani huna.......
Jamani nililia kwa uchungu nikhisi gari langu
swali langu likja hivi nani anpasa linda mgari yetu??
Na kwa nini kwenye parking wanadai "park on your own risk""huku watu wakilipa hela
tukiwa tunaendelea na stori za pole mtu mmoja akauliza namba zake za simu akamwambia.. Watu wakaachana tukabaki kama 8..baada ya muda akapigiwa na jamaa mmoja akidai anaitwa sele yuko gerezani akamwambia pole nasikia umeibiwa ??kama unaitaji mzigo wako apigi hiyo namba aje na laki 3 na nusu...jamani ndugu zangu tunaenda wapi ?????
Nimekaa nakuamini wezi wa haya magari wako hapo hapo airport na si kwingineko..iweje mtu ameomba namba na ni mfanyakazi wa airport gafla mtu anampigia aje na cash amemjuaje??hadi kumtaja jina
ndugu zangu wafanyakazi wa airport wezi mmewafuga hapo mkononi ni nyie wenyewe kuamua mtawasafishaje hao leo ni kwa abdu kesho watapiga gari zenu na kujuta .......
Bwana ametoa gerezani wametwaaa huzzuni za abdu ziendelee
pole kijana naamini mungu atakupa uvumilivu na hali kununu nyingine
ushauri
ni vyema sasa kwa kuwa tumejua hawa watu wanakuwa na magari nashauri tuwe tunaweka hata mawe kwenye gari yamkiniyule kaka angekuwa na mawe ya karibu angeweza kabisa kulipata gari maana ilichukua dk kadhaa kugeuka na kutoka alipopaki
mkiwa mnaleta ndugu zenu jitahdini muweke hata mawe kwenye gari incase likiwatokea mnaanza kuwarushia wakiwa wanakimbia hawa maruhani sijui wametokea wapi
polen walizwa