APICHO MKWELI
Member
- Nov 3, 2014
- 9
- 1
Hivi karibuni shirika la viwango Tanzania(TBS) limefanya usaili wa waombaji nafasi za kazi kama ilivyotanganzwa ,cha ajabu tuliofanya vema tumeachwa ktk shortlist, wamechaguliwa watu kwa kujuana na wengine waliokwisha toa rushwa ya ngono kwa wakurugenzi na baadhi ya wahojaji. Tunaomba vyombo husika vifuatilie ufaulu wa wasailiwa.
Mkweli.
Mkweli.