troiker
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 1,440
- 2,276
Ewura ni chombo cha serikali mahususi ku -regulate bei ya nishati nchini, pia chombo hiki kipo kwa mujibu wa sheria
.
Kabla ya hayati Magufuli kufariki mfumuko wa bei kwa kiasi flani ulitulia sana pamoja na changamoto nyingi ikiwemo gonjwa hatari la uviko-19.
Ghafla Ewura kwa sasa ni kama kuna ka kundi nyuma yake kamepenyeza rupia kwa ajili ya ku-maximize profite upande wa nishati, na kupelekea wananchi wa mwisho kama walaji kubeba mzigo mzito wa kupanda kwa bei ya bidhaa.
Hii inapelekea serikali kuchukiwa na wananchi na wengine wanasema mbona enzi za hayati hali hii ilikuwa nadra sana .
Nashauri serkali kuwafuatilia kwa kina watendaji wa Ewura, kwa siri na umakini mkubwa sana ,isije kuwa baadhi ya wafanyabiashara wasio waminifu wameanza kuichezesha serikali mchakamchaka kiaina .
Napongeza kauli ya waziri Kalemani kutengua maagizo ya Ewura,ili kutoa nafasi kwa wadau kupitia upya hali halisi ya kinachondelea,kwani ukipandisha bei ya mafuta ,ni kupandisha bei ya bidhaa na anaeumia ni mlaji wa mwisho .
.
Kabla ya hayati Magufuli kufariki mfumuko wa bei kwa kiasi flani ulitulia sana pamoja na changamoto nyingi ikiwemo gonjwa hatari la uviko-19.
Ghafla Ewura kwa sasa ni kama kuna ka kundi nyuma yake kamepenyeza rupia kwa ajili ya ku-maximize profite upande wa nishati, na kupelekea wananchi wa mwisho kama walaji kubeba mzigo mzito wa kupanda kwa bei ya bidhaa.
Hii inapelekea serikali kuchukiwa na wananchi na wengine wanasema mbona enzi za hayati hali hii ilikuwa nadra sana .
Nashauri serkali kuwafuatilia kwa kina watendaji wa Ewura, kwa siri na umakini mkubwa sana ,isije kuwa baadhi ya wafanyabiashara wasio waminifu wameanza kuichezesha serikali mchakamchaka kiaina .
Napongeza kauli ya waziri Kalemani kutengua maagizo ya Ewura,ili kutoa nafasi kwa wadau kupitia upya hali halisi ya kinachondelea,kwani ukipandisha bei ya mafuta ,ni kupandisha bei ya bidhaa na anaeumia ni mlaji wa mwisho .