Angalizo kwa maafisa utumishi

ilaz

Senior Member
Jul 13, 2017
100
61
Watumishi wengi sana wanalia kuwa majina yao hayapo kwenye orodha ya madeni na wana ushahidi wote kuwa wanadai. Angalizo langu natoa kwa zoezi linalokuja la kupandisha watumishi madaraja. Hili tatizo lisijitokeze tena. Hali ya sasa hivi hasa katika halmashauri nyingi haieleweki. Ndani ya halmashauri moja watumishi ajira mwaka mmoja lakini wako ngazi tofauti za mshahara. Sasa hivi kuna makundi mawili yamefungana na wote wanastahili kupanda mfano ajira 2012 na ajira 2013. Ili kuepuka kuzalisha madeni mapya mnapaswa kuwa makini sana.
 
Watumishi wengi sana wanalia kuwa majina yao hayapo kwenye orodha ya madeni na wana ushahidi wote kuwa wanadai. Angalizo langu natoa kwa zoezi linalokuja la kupandisha watumishi madaraja. Hili tatizo lisijitokeze tena. Hali ya sasa hivi hasa katika halmashauri nyingi haieleweki. Ndani ya halmashauri moja watumishi ajira mwaka mmoja lakini wako ngazi tofauti za mshahara. Sasa hivi kuna makundi mawili yamefungana na wote wanastahili kupanda mfano ajira 2012 na ajira 2013. Ili kuepuka kuzalisha madeni mapya mnapaswa kuwa makini sana.

Sina hakika kama nimekuelewa vema. Unaposema ndani ya halmashauri.... (see bold), je wanakuwa wako kwenye kada moja?
Kama hawako kwenye kada moja tuseme mfano mwingine ni mchumi, mwingine ni mwanasheria na wote wamesoma chuo kimoja wakahitimu mwaka mmoja.

Kwenye kuandaa mishahara ya watumishi kuna kitu wapare tunaita "JOB EVALUATION" hiyo jobu evaluesheni ni kwamba kwanza, wanaorodhesha kazi za kila kada kazi zooooote, halafu kila kazi inapewa bei yake, kwa mfano kama ni mwalimu wanaweza kufanya hivi:
1. Kuandaa somo Tshs.10,000/=
2. Kufundisha Tshs.20,000/=
(ni mfano tu huu)
wakisha maliza kuorodhesha bei za kila kazi (kwa kutumia job descriptions) wanajumlisha hizo bei za kila kazi ndio hapo sasa unasikia mshahara wa Nurse ni Tshs.1,200,000/= (ni mfano jamani msinirushie mawe)
 
Sina hakika kama nimekuelewa vema. Unaposema ndani ya halmashauri.... (see bold), je wanakuwa wako kwenye kada moja?
Kama hawako kwenye kada moja tuseme mfano mwingine ni mchumi, mwingine ni mwanasheria na wote wamesoma chuo kimoja wakahitimu mwaka mmoja.

Kwenye kuandaa mishahara ya watumishi kuna kitu wapare tunaita "JOB EVALUATION" hiyo jobu evaluesheni ni kwamba kwanza, wanaorodhesha kazi za kila kada kazi zooooote, halafu kila kazi inapewa bei yake, kwa mfano kama ni mwalimu wanaweza kufanya hivi:
1. Kuandaa somo Tshs.10,000/=
2. Kufundisha Tshs.20,000/=
(ni mfano tu huu)
wakisha maliza kuorodhesha bei za kila kazi (kwa kutumia job descriptions) wanajumlisha hizo bei za kila kazi ndio hapo sasa unasikia mshahara wa Nurse ni Tshs.1,200,000/= (ni mfano jamani msinirushie mawe)
Anamaanisha kada moja!
 
Sina hakika kama nimekuelewa vema. Unaposema ndani ya halmashauri.... (see bold), je wanakuwa wako kwenye kada moja?
Kama hawako kwenye kada moja tuseme mfano mwingine ni mchumi, mwingine ni mwanasheria na wote wamesoma chuo kimoja wakahitimu mwaka mmoja.

Kwenye kuandaa mishahara ya watumishi kuna kitu wapare tunaita "JOB EVALUATION" hiyo jobu evaluesheni ni kwamba kwanza, wanaorodhesha kazi za kila kada kazi zooooote, halafu kila kazi inapewa bei yake, kwa mfano kama ni mwalimu wanaweza kufanya hivi:
1. Kuandaa somo Tshs.10,000/=
2. Kufundisha Tshs.20,000/=
(ni mfano tu huu)
wakisha maliza kuorodhesha bei za kila kazi (kwa kutumia job descriptions) wanajumlisha hizo bei za kila kazi ndio hapo sasa unasikia mshahara wa Nurse ni Tshs.1,200,000/= (ni mfano jamani msinirushie mawe)


hehehehehehehehehehehe
 
Watumishi wengi sana wanalia kuwa majina yao hayapo kwenye orodha ya madeni na wana ushahidi wote kuwa wanadai. Angalizo langu natoa kwa zoezi linalokuja la kupandisha watumishi madaraja. Hili tatizo lisijitokeze tena. Hali ya sasa hivi hasa katika halmashauri nyingi haieleweki. Ndani ya halmashauri moja watumishi ajira mwaka mmoja lakini wako ngazi tofauti za mshahara. Sasa hivi kuna makundi mawili yamefungana na wote wanastahili kupanda mfano ajira 2012 na ajira 2013. Ili kuepuka kuzalisha madeni mapya mnapaswa kuwa makini sana.

Kama Watumishi wenyewe wanafanana kwa akili za / upeo wa hovyo hovyo kama wale waliokuwa wakihojiwa na Mkuu wa Mkoa Makonda wikiendi iliyopita pale Diamond Jubilee naunga mkono 100% kuwa wasilipwe kwani kwa ugoigoi ule hawastahili Kulipwa kabisa.
 
Watumishi wengi sana wanalia kuwa majina yao hayapo kwenye orodha ya madeni na wana ushahidi wote kuwa wanadai. Angalizo langu natoa kwa zoezi linalokuja la kupandisha watumishi madaraja. Hili tatizo lisijitokeze tena. Hali ya sasa hivi hasa katika halmashauri nyingi haieleweki. Ndani ya halmashauri moja watumishi ajira mwaka mmoja lakini wako ngazi tofauti za mshahara. Sasa hivi kuna makundi mawili yamefungana na wote wanastahili kupanda mfano ajira 2012 na ajira 2013. Ili kuepuka kuzalisha madeni mapya mnapaswa kuwa makini sana.
We ni nan mpaka uwape angalizo? Hv unadhan n kgezo cha miaka tu ndicho huwa knatumika kumpandsha mtu cheo? Afu usipopandshwa cheo unakuwaje unadai? Yan anazalshaje madeni? Jitahd kujua mambo kabla ya kuhukumu brother. By the way kupandsha vyeo kulsmamishwa na mheshmiwa mwaka 2016 mwanzon hao wa 2012 wangepanda lin na hao wa 2013? Msipende kuwalaumu mahr ofcourse kuna makosa ya kbnadamu sio zgo lote lao. Afu pia hao 2012/2013 vyeo vyao vitatokana na mwongozo utakao toka utumish na wanaweza wasipande vilevile.
Watumishi wengi sana wanalia kuwa majina yao hayapo kwenye orodha ya madeni na wana ushahidi wote kuwa wanadai. Angalizo langu natoa kwa zoezi linalokuja la kupandisha watumishi madaraja. Hili tatizo lisijitokeze tena. Hali ya sasa hivi hasa katika halmashauri nyingi haieleweki. Ndani ya halmashauri moja watumishi ajira mwaka mmoja lakini wako ngazi tofauti za mshahara. Sasa hivi kuna makundi mawili yamefungana na wote wanastahili kupanda mfano ajira 2012 na ajira 2013. Ili kuepuka kuzalisha madeni mapya mnapaswa kuwa makini sana.
 
We ni nan mpaka uwape angalizo? Hv unadhan n kgezo cha miaka tu ndicho huwa knatumika kumpandsha mtu cheo? Afu usipopandshwa cheo unakuwaje unadai? Yan anazalshaje madeni? Jitahd kujua mambo kabla ya kuhukumu brother. By the way kupandsha vyeo kulsmamishwa na mheshmiwa mwaka 2016 mwanzon hao wa 2012 wangepanda lin na hao wa 2013? Msipende kuwalaumu mahr ofcourse kuna makosa ya kbnadamu sio zgo lote lao. Afu pia hao 2012/2013 vyeo vyao vitatokana na mwongozo utakao toka utumish na wanaweza wasipande vilevile.
Kwani na wewe ni nani hadi unipangie cha kuandika?
 
Kuna mtu ameajiriwa mwaka 2010 hajapanda mshahara hadi leo.Watu walioajiriwa naye mwaka huo wa kada moja wamepanda hadi Milioni wakati yeye yuko laki sita tu.
Hata hivyo maafisa utumishi huenda wana kinga fulani kama mahakimu hata akikuonea huwa hawafanywi lolote!
 
Back
Top Bottom