kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,818
- 7,484
Mi noah yangu nyeusi jaman nshawahi
Haswa!Kama ulikua unafuatilia siasa za kipindi cha uchahuzi uliopita utagundua kwamba Msukuma anamkubali Lowassa maana aliingia na helicopter yake pale Arusha,sasa hoja ikiwa nikwann hakumfiata upinzani pengine nikwasababu yeye ameona CCM bado sera zake ni rafiki kwake