Angalizo: Joseph Kasheku Msukuma asisahaulike

Angalizo: Joseph Kasheku Msukuma asisahaulike

ZE NDINDINDI

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
1,885
Reaction score
4,013
Nyinyi nyote ni mashahidi jinsi kijana huyu machachari mwenye kujenga hoja za mashiko jinsi anavyotumainiwa na CCM haswa katika siku za karibuni,kila siku hupata nafasi za kuchangia and he never disappoints ,ushahidi ni jinsi wabunge wa ccm wanavyompigiaga makofi na vigelegele.
Alinifurahisha sana siku alipomuambia Msigwa akae kimya kuhusu mambo ya dhahabu sababu hajawahi kuiona yeye na Mnyika wanachojua ni nyanya na matofali,sitasahau wabunge wa ccm walivyolipuka kwa shangwe
Mheshimiwa Rais,huyu Messi wa CCM aka Msukuma katokea Geita kule keshazoea kuona hayo madhahabu tafadhali aongoze timu ya Tanzania katika majadiliano na hao wezi wa Accasia.
Mheshimiwa Rais,usibabaike na maprofesa na madokta ukawajaza kwenye timu kumbe hata dhahabu hawajawi ona
Msukuma oyeeeee,la saba oyeeeeee.
 
Kweli Taifa Hili Linawatu Wapuuzi Sana .
Yani Mambo Yanayohitaji Utaalamu Halafu tumpeleke Standard Seven Yule Kisa Tu Anapata Nafasi Ya Kuongea Bungeni???

Ifike Mahali Watanzania Tujitathimini Na Kujitambua Vitu Tunavyohitaji Na Kuvipigania..
 
Yaani mnafananisha siasa za,majukwaani na hizi siasa za biashara huo sio ushindi wa uchaguzi kufanya,baya na zuri ili mradi ushinde hizi,ni siasa za,kumuibia mwenye akili kutumia uongo kwa kinga ya sheria sheria
 
Nyinyi nyote ni mashahidi jinsi kijana huyu machachari mwenye kujenga hoja za mashiko jinsi anavyotumainiwa na CCM haswa katika siku za karibuni,kila siku hupata nafasi za kuchangia and he never disappoints ,ushahidi ni jinsi wabunge wa ccm wanavyompigiaga makofi na vigelegele.
Alinifurahisha sana siku alipomuambia Msigwa akae kimya kuhusu mambo ya dhahabu sababu hajawahi kuiona yeye na Mnyika wanachojua ni nyanya na matofali,sitasahau wabunge wa ccm walivyolipuka kwa shangwe
Mheshimiwa Rais,huyu Messi wa CCM aka Msukuma katokea Geita kule keshazoea kuona hayo madhahabu tafadhali aongoze timu ya Tanzania katika majadiliano na hao wezi wa Accasia.
Mheshimiwa Rais,usibabaike na maprofesa na madokta ukawajaza kwenye timu kumbe hata dhahabu hawajawi ona
Msukuma oyeeeee,la saba oyeeeeee.
naona umeamua kutuuza kwa bei ya nyanya.
 
Nyinyi nyote ni mashahidi jinsi kijana huyu machachari mwenye kujenga hoja za mashiko jinsi anavyotumainiwa na CCM haswa katika siku za karibuni,kila siku hupata nafasi za kuchangia and he never disappoints ,ushahidi ni jinsi wabunge wa ccm wanavyompigiaga makofi na vigelegele.
Alinifurahisha sana siku alipomuambia Msigwa akae kimya kuhusu mambo ya dhahabu sababu hajawahi kuiona yeye na Mnyika wanachojua ni nyanya na matofali,sitasahau wabunge wa ccm walivyolipuka kwa shangwe
Mheshimiwa Rais,huyu Messi wa CCM aka Msukuma katokea Geita kule keshazoea kuona hayo madhahabu tafadhali aongoze timu ya Tanzania katika majadiliano na hao wezi wa Accasia.
Mheshimiwa Rais,usibabaike na maprofesa na madokta ukawajaza kwenye timu kumbe hata dhahabu hawajawi ona
Msukuma oyeeeee,la saba oyeeeeee.
Huyo boya tu dhuluma ndio jadi yke anakesi alichukua hati ya nyumba ya familia flani hpo kaluta street mwanza miaka ya 2009 akakopea 150m.....mpka kupata hiyo hati alikua anatembea na dada yao mkubwa ambae ndio alikua anakaa na hati.mpka sasa deni linakaribia 500m na kesi iko mahakama ya ardhi hpo mwanza
 
Nyinyi nyote ni mashahidi jinsi kijana huyu machachari mwenye kujenga hoja za mashiko jinsi anavyotumainiwa na CCM haswa katika siku za karibuni,kila siku hupata nafasi za kuchangia and he never disappoints ,ushahidi ni jinsi wabunge wa ccm wanavyompigiaga makofi na vigelegele.
Alinifurahisha sana siku alipomuambia Msigwa akae kimya kuhusu mambo ya dhahabu sababu hajawahi kuiona yeye na Mnyika wanachojua ni nyanya na matofali,sitasahau wabunge wa ccm walivyolipuka kwa shangwe
Mheshimiwa Rais,huyu Messi wa CCM aka Msukuma katokea Geita kule keshazoea kuona hayo madhahabu tafadhali aongoze timu ya Tanzania katika majadiliano na hao wezi wa Accasia.
Mheshimiwa Rais,usibabaike na maprofesa na madokta ukawajaza kwenye timu kumbe hata dhahabu hawajawi ona
Msukuma oyeeeee,la saba oyeeeeee.


yaan haupo serious kabisa mkuu dah
 
Jamaa anaongea utafikili yale madoli yenye funguo kwa nyuma, unazungushaaaa weee ukija kuachia chamoto utakiona!!
 
Nyinyi nyote ni mashahidi jinsi kijana huyu machachari mwenye kujenga hoja za mashiko jinsi anavyotumainiwa na CCM haswa katika siku za karibuni,kila siku hupata nafasi za kuchangia and he never disappoints ,ushahidi ni jinsi wabunge wa ccm wanavyompigiaga makofi na vigelegele.
Alinifurahisha sana siku alipomuambia Msigwa akae kimya kuhusu mambo ya dhahabu sababu hajawahi kuiona yeye na Mnyika wanachojua ni nyanya na matofali,sitasahau wabunge wa ccm walivyolipuka kwa shangwe
Mheshimiwa Rais,huyu Messi wa CCM aka Msukuma katokea Geita kule keshazoea kuona hayo madhahabu tafadhali aongoze timu ya Tanzania katika majadiliano na hao wezi wa Accasia.
Mheshimiwa Rais,usibabaike na maprofesa na madokta ukawajaza kwenye timu kumbe hata dhahabu hawajawi ona
Msukuma oyeeeee,la saba oyeeeeee.

Nimecheka mpk mbavu zimeuma uzi una fasihi nzito sana. Cc Magwangala.
 
Kweli Taifa Hili Linawatu Wapuuzi Sana .
Yani Mambo Yanayohitaji Utaalamu Halafu tumpeleke Standard Seven Yule Kisa Tu Anapata Nafasi Ya Kuongea Bungeni???

Ifike Mahali Watanzania Tujitathimini Na Kujitambua Vitu Tunavyohitaji Na Kuvipigania..
In fact ni standard seven clever and brilliant mwenye akili hata kuliko RAIS WA TLS na wavuta bangi wengi kutoka upinzani. You know, he is talented to speak with confidence and data. Ukitaka kumjua vizuri kamuulize Mbowe eti ni kwa nini MSUKUMA hakumfuata LOWASA?
Si kwamba nataka awe considered kwenye hiyo team lakini wapinzani kiukweli wanakera pale wanaporopokaropoka!
 
Msukuma ni jembe ana hoja zenye nguvu ndiyo maana wazee wa ndiyoooooooooo mamemkubali na kwa hoja zake Acacia watatulipa hela yote bila kupungua hata senti. Msukuma oyeee, chama cha makanikia oyeeeeeeeee.
 
mnaoponda mnasahau kwamba kuna siku huyu genius Msukuma alihojiwa star tv akasema yeye ndiye mkuu wa wachawi kanda ya ziwa,mnadhani hatakuwa na msaada dhidi ya hao wanaume wa Barrick,wakituzidi hoja jamaa anafanya mambo ya kikolomije wanaitikia tu..yaani wakiambiwa wekeni mezani trilion 108 a.k.a 54 billion dollars wanasema yes sir John Pombe,yes sir.
 
Back
Top Bottom