Kweli kabisaKuanzia majira ya saa 12 jioni ya Leo maeneo ya msitu wa mlima Kilimanjaro umeonekana ukiwa na ishara ya kuwaka moto kutoka sehemu ya upande wa mashariki ukiwa unatizama mlima kutokea Moshi mjini, hivyo kuonekana ukubwa wa moto kuongezeka kadri muda unavyozidi kwenda, inaonekana eneo lililoathirika na moto ni kubwa.
Nitoe rai kwa serikali/hifadhi kuweza kuchukua hatua za haraka kudhibiti ueneaji wa moto huo kwa haraka kuanzia sasa kwakuwa kufikia kesho tatizo laweza kuwa kubwa zaidi hivyo kuathiri viumbe, maliasili na tabia nchi.
Ahsante
Akili za bataWatu wa Kilimanjaro ni wapinzani sana wa Chadema wacha moto uwake hadi majumbani kwao
Yeye kwa akili zake fupi anafikiri mlima kilimanjaro ni mali ya watu wa Kilimanjaro peke yao!Akili za bata
Ina maana wewe umeona Chadema ndio tatizo na sio mlima kuteketea?...Watu wa Kilimanjaro ni wapinzani sana wa Chadema wacha moto uwake hadi majumbani kwao
Yah wanaunga mkono chadema ndiyo maana moto unawawakia. Huoni Burigi Chato mambo mswanoIna maana wewe umeona Chadema ndio tatizo na sio mlima kuteketea?...
Mwaka jana Brazil moto uliteketeza msitu maarufu duniani. Vipi na wenyewe hawana utaalamu au?Wewe nae kilaza tu,sijui sisi Watanzania ni watu wa aina gani!Hakuna hatua za haraka kudhibiti ueneaji wa moto bila ya kuwa na maandalizi ya kupambana na majanga ya ghafla ya moto ambayo yanatakiwa kuwa yamefanyika miaka kadhaa nyuma.Maandalizi hayo ni pamoja na ndege za kuzimia moto,team za wataalam,mafunzo,e.t.c.Yote haya hayajawahi kufanyika.Yote haya hayajawahi kufanyika kwa sababu tuna serekali legelege.
Kama umeona video za leo huo moto watu wanazima kwa kutumia vijiti,mapanga na majembe!Kuzima moto kwa kutumia vijiti na mapanga wapi na wapi ndugu yangu!
Ukilaza unao wewe, Kama moto unawaka na maandalizi hamna tuuache tuu uendelee kuwaka!?,naongelea sasa Hayo unayosema ni baada yakudhibiti kunachotokea sasa, vitumike vijiti, mapanga n.k lazma huu moto udhibitiwe ,ulichoandika ni ushauri La nini kifanyike na sio watanzania wote ni vilaza Kama wewe acha kujumuisha watu, moto umetokea huko mlimani unatulaumu watanzania tulikuwepo wote huko?, chanzo unakijua?,swali linarudi kwako hivi wewe ni mtanzania wa Aina gani?....be brave sonWewe nae kilaza tu,sijui sisi Watanzania ni watu wa aina gani!Hakuna hatua za haraka kudhibiti ueneaji wa moto bila ya kuwa na maandalizi ya kupambana na majanga ya ghafla ya moto ambayo yanatakiwa kuwa yamefanyika miaka kadhaa nyuma.Maandalizi hayo ni pamoja na ndege za kuzimia moto,team za wataalam,mafunzo,e.t.c.Yote haya hayajawahi kufanyika.Yote haya hayajawahi kufanyika kwa sababu tuna serekali legelege.
Kama umeona video za leo huo moto watu wanazima kwa kutumia vijiti,mapanga na majembe!Kuzima moto kwa kutumia vijiti na mapanga wapi na wapi ndugu yangu!