Angalieni kitu nilichopata TANESCO

Angalieni kitu nilichopata TANESCO

Nyakua nyakitita

Senior Member
Joined
Apr 14, 2014
Posts
193
Reaction score
43
LUKU
Ref BI88BN522
Meter 37135271479
Receipt EVG259343132
Units 7.90kWh
0538 2831 0976 5471 7881
Cost TZS 2,931.20
Timebased TZS 13,468.80
TOTAL TZS 16,400.00
 
kuna kitu nataka nikuelekeze lakini kwanza uwe unajua kwa mwezi unatumia wastani wa Unit ngapi na ni nzuri kama ni pungufu ya 75 units.
 
LUKU
Ref BI88BN522
Meter 37135271479
Receipt EVG259343132
Units 7.90kWh
0538 2831 0976 5471 7881
Cost TZS 2,931.20
Timebased TZS 13,468.80
TOTAL TZS 16,400.00

Hapo tayari umeshaa changia SINGA SINGA na JR kama 13468/= na mbado mwakan watasema wanajiendesha kwa hasara wana omba waongeze hapo japo ka 2000/=
Walau ifike 15000/= cheze jambaz wew
 
LUKU
Ref BI88BN522
Meter 37135271479
Receipt EVG259343132
Units 7.90kWh
0538 2831 0976 5471 7881
Cost TZS 2,931.20
Timebased TZS 13,468.80
TOTAL TZS 16,400.00

Kuna kautaratibu unatakiwa wajanja wakuelekeze ili uwwze kuepukana na makato makali ya aina hiyo
 
itabidi iwe hivyo hata hizo unit 10 kwa mwezi nyingi mimi nataka 1unit kwa mwezi.
Hii nchi kila mtu ajigaie anavyoweza sasa

Nilihama kwa hiyo house ilikuwa ya gavaa so niliinjoy sana kunakua na switch unafanya shanting..tanesco ama by-pass..ila ni wizi aisee not good at all
 
Hapo tayari umeshaa changia SINGA SINGA na JR kama 13468/= na mbado mwakan watasema wanajiendesha kwa hasara wana omba waongeze hapo japo ka 2000/=
Walau ifike 15000/= cheze jambaz wew

Another escrow
 
kuna kitu nataka nikuelekeze lakini kwanza uwe unajua kwa mwezi unatumia wastani wa Unit ngapi na ni nzuri kama ni pungufu ya 75 units.

Nadhani hicho unachotaka kuniambia nilishafanya,TANESCO waliniambia Mpaka nitimize mwaka.
 
...servic charg hiyo...bt hata ivo nadhan tanesco wamepandisha gharama za umeme..maana umeme nliokuwa natumia wiki..sasa siku tatu tu kwishney....
 
Back
Top Bottom