mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,925
- 8,440
...servic charg hiyo...bt hata ivo nadhan tanesco wamepandisha gharama za umeme..maana umeme nliokuwa natumia wiki..sasa siku tatu tu kwishney....
Ni kweli mkuu hata mimi nilishangaa umeme nilikuwa natumia wiki sasa ni siku 4,na sasa unit moja nadhani ni TZS 375 na ushee hivi na kwa siku umejibana matumizi ni unit 3-4 siku hizi nazima kila kitu umeme umebaki wa kuwasha usiku tu na kusikiliza mjadala wa Escrow.