pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Maisha bora kwa kila Mtz. ndio hayo mkuu? huna jamaa yako 'escrow' akupige tafu?
LUKU
Ref BI88BN522
Meter 37135271479
Receipt EVG259343132
Units 7.90kWh
0538 2831 0976 5471 7881
Cost TZS 2,931.20
Timebased TZS 13,468.80
TOTAL TZS 16,400.00
Naunga mkono hojaItakuwa ulikuwa hujanunua umeme kwa miezi miwili mfululizo wakakata service charge kilichobak ndicho wamekupatia
Nadhani hicho unachotaka kuniambia nilishafanya,TANESCO waliniambia Mpaka nitimize mwaka.
Bahati mbaya nimefuta SMS ya mwezi uliopita ningeweka,kila mwezi nanunua.Naunga mkono hoja
Service charge kwa mujibu wa tariff rate yako. Inaweza kuwa hujanunua muda wa miezi miwili.LUKU
Ref BI88BN522
Meter 37135271479
Receipt EVG259343132
Units 7.90kWh
0538 2831 0976 5471 7881
Cost TZS 2,931.20
Timebased TZS 13,468.80
TOTAL TZS 16,400.00
Huu ushenzi unaoitwa service charges huwa mie sielewagi kabisa,mbona vocha za simu tukinunua hakuna service charges? Huu wizi lazima tuutokomeze kama sijanunua umeme mwezi huu kwanini mwezi unaokuja wanikate? Hizo service charges tunazolipia hawajarudisha tu gharama zao? Aisee uchaguzi wa mwaka 2015 lazima wagombea uraisi watuondolee huo ushenzi.
Kuna kautaratibu unatakiwa wajanja wakuelekeze ili uwwze kuepukana na makato makali ya aina hiyo