"A US military attack against Syria was unexpectedly put on hold on Saturday, after the U-Turn from president Barack Obama,he earlier backed the use of force after what he called "the worst chemical weapons attack of 21st century of Syria's government to its people",
Mkuu,
Mwaka jana Barack Obama alisitisha maamuzi ya kwenda vitani kuishambulia Syria japo alishakubaliana na ushahidi ulioletwa mbele yake na ana mamlaka ya kikatiba ya kuruhusu mashambulizi,lakini after a deep self analysis of the situation he had to do what he believed was right bila kujali wengine wanaoamini tofauti na yeye watasemaje na hiyo ndio sifa ya Kiongozi,kuna point inafika unakuwa tayari kufanya maamuzi ya pekeyako as long as unaamini uko right.
Kwa hiyo usimlaumu sana Llipumba na kutoka povu bila sababu,situation iliyomkuta ni kama iliyomkuta Obama kama nilivoeleza na ni vitu vya kawaida kwa viongozi popote pale duniani.
Swala sio kumkaribisha Lowassa bali ni nini kilifuata baada ya hapo? yeye alikaa na kuona kama kiongozi mwenye dhamana hatakuwa akiwatendea haki watanzania na Tanzania kwa ujumla kama ataendelea na kumkubali huyu bwana,sasa nani anakubaliana naye na nani hakubalianani naye na kwa principles zipi huo ni mjadala unaoachwa mikononi mwa watanzania wote.
kukumbatiana sio sababu, ujue Lipumba anaupeo mkubwa sana.,sana huyu jamaa kweli ni profesa,hata mbowe amejua kwamba Lipumba sungura.Ule ni mkenge ,UKAWA si chama cha siasa.Lowasa raisi kutoka chadema.kusapoti ukawa isha geukani kusapoti Chadema, Chadema kinakua watu wanajiunga CUF nguvu inapungua.Raisi anapanga Baraza la mawaziri, Chadema ndo wanarusiwa,cio ukawa, chadema wakigoma kuwashirikisha Cuf kuwapa nyazifa hawwezi kushitaki popote.Muungano wao hautambuliki kisheria kutoka kwa msajili wa vyama.Balaa hayo mambo ya kisomi Lipumba sungura.
âNi kweli nilishiriki kumkaribisha Lowassa UKAWA lakini dhamira na nafsi yangu inanisuta⦠Tumekaribisha watu wa CCM ambao waliipinga Rasimu ya Katiba, najiuliza tutaweza kusimamia malengo ya UKAWAâ
Mtoa mada unatoka Povu la nini wakati senetensi ya juu umei quote mwenyewe iko clear kabisa,ulitaka aongee nini zaidi ya hiko.
kapewa bilion nne kakimbia nchi kenge huyu ila haja athir kitu.kukumbatiana sio sababu, ujue Lipumba anaupeo mkubwa sana.,sana huyu jamaa kweli ni profesa,hata mbowe amejua kwamba Lipumba sungura.Ule ni mkenge ,UKAWA si chama cha siasa.Lowasa raisi kutoka chadema.kusapoti ukawa isha geukani kusapoti Chadema, Chadema kinakua watu wanajiunga CUF nguvu inapungua.Raisi anapanga Baraza la mawaziri, Chadema ndo wanarusiwa,cio ukawa, chadema wakigoma kuwashirikisha Cuf kuwapa nyazifa hawwezi kushitaki popote.Muungano wao hautambuliki kisheria kutoka kwa msajili wa vyama.Balaa hayo mambo ya kisomi Lipumba sungura.
Ulimwengu wa Siasa Tanzania August 06 2015 umepokea headlines nyingine zenye uzito ambapo aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa Chama hicho.Hapa ilikuwa meza kuu, yuko Freeman Mbowe (CHADEMA), Edward Lowassa (CHADEMA) na Prof. Lipumba (CUF)
Sentensi nyingine amesema hivi >>> Taarifa ya kungatuka niliitoa August 01 2015, nilisubiri kukamilisha masuala ya UKAWA ndio nitoke Ninaendelea kuwa Mwanachama wa CUF na nimelipia Kadi ya Uanachama mpaka 2020, sina mpango wa Kujiunga ACT-Prof. Lipumba.Hapa nina pichaz nyingine Kumbukumbu ya July 28 2015 siku Edward Lowassaalivyokaribishwa rasmi CHADEMA na UKAWA.
Irrelevant comparison.
kukumbatiana sio sababu, ujue Lipumba anaupeo mkubwa sana.,sana huyu jamaa kweli ni profesa,hata mbowe amejua kwamba Lipumba sungura.Ule ni mkenge ,UKAWA si chama cha siasa.Lowasa raisi kutoka chadema.kusapoti ukawa isha geukani kusapoti Chadema, Chadema kinakua watu wanajiunga CUF nguvu inapungua.Raisi anapanga Baraza la mawaziri, Chadema ndo wanarusiwa,cio ukawa, chadema wakigoma kuwashirikisha Cuf kuwapa nyazifa hawwezi kushitaki popote.Muungano wao hautambuliki kisheria kutoka kwa msajili wa vyama.Balaa hayo mambo ya kisomi Lipumba sungura.
Lipumba mnafki kulikua hakuna haja ya kupretend siku zote toka Lowassa kaingia UKAWA yani alivyopata tu tetesi kua Lowassa angekuja UKAWA angejiuzulu wala asingesubiri sijui kumkaribisha
Ni kweli nilishiriki kumkaribisha Lowassa UKAWA lakini dhamira na nafsi yangu inanisuta Tumekaribisha watu wa CCM ambao waliipinga Rasimu ya Katiba, najiuliza tutaweza kusimamia malengo ya UKAWA
Mtoa mada unatoka Povu la nini wakati senetensi ya juu umei quote mwenyewe iko clear kabisa,ulitaka aongee nini zaidi ya hiko.
mkuu muda mwingine huwa napata shaka sana na elimu zetu,maamuzi ya obama katika vita vya siria ufananishe na maamuzi ya kiongozi wa chama cha siasa kujitoa ?
Ni kweli nilishiriki kumkaribisha Lowassa UKAWA lakini dhamira na nafsi yangu inanisuta Tumekaribisha watu wa CCM ambao waliipinga Rasimu ya Katiba, najiuliza tutaweza kusimamia malengo ya UKAWA
Mtoa mada unatoka Povu la nini wakati senetensi ya juu umei quote mwenyewe iko clear kabisa,ulitaka aongee nini zaidi ya hiko.