Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,041
- 2,417
Naona anawaangalia EL na mkewe kwa jicho la kupendezwa na wanavo kumbatiana..... kwi kwi kwiiiii.....
Profesa Baregu je?Huyu Jamaa ni Mnafiki sana, Sijapata Kuona Prof. kama Huyu
hatuwezi jua labda alikuwa ana kazi maalumuUlimwengu wa Siasa Tanzania August 06 2015 umepokea headlines nyingine zenye uzito ambapo aliyekuwa Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba ametangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa Chama hicho.![]()
Hapa ilikuwa meza kuu, yuko Freeman Mbowe (CHADEMA), Edward Lowassa (CHADEMA) na Prof. Lipumba (CUF)
![]()
Sentensi nyingine amesema hivi >>> &[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];Taarifa ya kung'atuka niliitoa August 01 2015, nilisubiri kukamilisha masuala ya UKAWA ndio nitoke&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; Ninaendelea kuwa Mwanachama wa CUF na nimelipia Kadi ya Uanachama mpaka 2020, sina mpango wa Kujiunga ACT&[HASHTAG]#8216[/HASHTAG];-Prof. Lipumba.Hapa nina pichaz nyingine Kumbukumbu ya July 28 2015 siku Edward Lowassaalivyokaribishwa rasmi CHADEMA na UKAWA.
Lipumba mnafiki wa kweli na ndio maana hakutaka kubaki kwenye UKAWA iliyokuwa na kila dalili za unyonyaji, mfano mdogo kwenye Kura za URAIS WA UKAWA kupitia CDM, CUF bila shaka walikua na kura zao pia, je wanapewa ruzuku yeyote itokanayo na kura zile ambayo inaingia CDM tu??Kuwa profesa si kuwa na akili, ni kuweza kufanya tu kitu kidogo mno kwa usahihi
hata mjomba hana viatu?Huwezi kuivuka bahari kwa kuogelea na mtembea peku hapendi ila hana viatu na aliyekamatwa na nyama si ndio mwizi was kuku