Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,288
- 12,916
Halafu nikifikiria tunatamba na kuwa na zaidi ya miaka 60 ya uhuru dah. Bora muingereza angeendelea kututawala tu, tuliitaka nchi katika kipindi ambacho bado hatujajua nini maana ya kujiongoza katika dhima nzima ya MAENDELEODuuh! Watu wapo mbali angalia machatu hapa chiniView attachment 2972132
Sisi kinyoka kimoja tu mpaka wachungaji na masheikh kukiombeaš¤”
Bado tupo nyuma sana inabidi tukimbie
Reli ya kati ya mjerumani na Tazara ya macho madogo tumeziua kiaina.Alafu nikifikiria tunatamba na kuwa na zaidi ya miaka 60 ya uhuru dah. Bora muingereza ungeendelea kututawala tu, tuliitaka nchi katika kipindi ambacho bado hatujajua nini maana ya kujiongoza katika dhima nzima ya MAENDELEO
CCM wanaichelewesha sana hii nchi kimaendeleona wananchi nao wamelala usingizi wa pono hawajui haki zao na uwoga umewatawalaHapo machatu yamelala baada ya mihangaiko ya siku nzima.
Daah hawa macho madogo shikamoo.
Halafu hawa ndio tunaambiwa tulikuwa nao uchumi mmoja miaka ya sitiniš¤”š
Maombi ya kitaifa.Sisi kikija kichwa kinaombewa mapepo
Kweli si wananchi wa kawaida wala viongozi tunao tambua wajibu wetu.CCM wanaichelewesha sana hii nchi kimaendeleona wananchi nao wamelala usingizi wa pono hawajui haki zao na uwoga umewatawala
Taifa la walevi na wazinzi.Tu deal kwanza na kupima gongo ili ziwe na ubora ziruhusiwe mambo yasiwe mengi
Ikitokea kampuni ya kamari ikaweka bet kuhusu maendeleo ya Tanzania nitaweka pesa zangu zote ku wager bet against Tanzania.Hapo machatu yamelala baada ya mihangaiko ya siku nzima.
Daah hawa macho madogo shikamoo.
Halafu hawa ndio tunaambiwa tulikuwa nao uchumi mmoja miaka ya sitiniš¤”š
Lazima ule pesa uhakika hapo huwezi kosaIkitokea kampuni ya kamari ikaweka bet kuhusu maendeleo ya Tanzania nitaweka pesa zangu zote ku wager bet against Tanzania.
Au nina bet TZ itaendelea kua na umeme wa kusuasua hata miaka 20 ijayo licha ya mradi wa umeme bwawa la Rufiji. Odds 100,000 šLazima ule pesa uhakika hapo huwezi kosa
Hapo vyuma vinapumua kama mabasi kumbe nyoka tupu.*****!!!!! yani hapo ndo kama stand ya magufuri yani....doooohhh
Chatu wetu kala ng'ombe watatu hawezi kimbia sana.mayo machatu ni bullet mkuu, ya mwendo hatar ya chini kabisa itakuwa over 200km/h, kichatu chetu kinaenda 80km/h
Inabidi tujifariji tu hakuna namna.Inachekesha na pia inasikitisha.