Angalia sifa anazopewa Rais Magufuli na wakenya

Kweli kbsa from 7.9 to 7.2 ni hatari sana.
Lazima tuishi km mashetani. Nilikuwa najiuliza mzee wangu vipi?
-Mbona zile ajira za wanyonge bado kaziweka mfukoni?
-Katoa mikopo kwa wanafunzi wachache
-Hakuna fao la kujitoa
-Hakuna posho, kupandishwa madaraja na wengine hawajalipwa mishahara miez 7
-Dawa hakuna

Awamu hii chiboko kwa kweli. 7.9 -7.2 Hapa kazi tu
Naimani wewe utakuwa mwana kemia ujui lolote kuhusu uchumi mnadhani alikosea kutaja 7.9 ??? uchumi wetu umekua kwa 7.9% kwa robo ya kwanza maana yake ni kuwa kwa mwaka uchumi wetu uta range kwenye 7% kwa mwaka na niongezeko la 2.3 % kutoka 5.6% mwaka 2015 na mfumuko wa bei kutoka 5.1 to 4.9 sasa anataka tuwe tunacheza na ukuwaji wa 7.2% kwa mwaka sasa hapo kakosea nn????
 
Wapiga dili wana kelele.
-Waliosimamishiwa ajira na wengine wakarudishwa nyumbani ni wapiga dili?
-Wanaolia na kutokuwepo kwa fao la kujitoa wote ni wapiga dili?
-Wanaolia wamekosa mikopo ya kusomea elimu ya juu ni wapiga dili
-Wanaolalamika madawa hakuna ni wapiga dili?
-wanaolalamika hakuna increment, posho na kutopandishwa madaraja wote ni wapiga dili?

NAKUUNGA MKONO HAWA WOTE NI WAPIGA. Si mnataka kusifiwa nyie watakatifu basi. Endeleeni kutuaminisha kuwa kuna wapiga dili
 
hadi ujinyonge ewe mzee wa negative
Si unaona ww mwenyew hali ni ngumu
-Kale ka ajira watu walikuwa wanakategemea, mekaweka mfukoni
-Hata kale ka fao ka kujitoa nako mekaweka mfukoni
-Hata ile mikopo watoto wa maskini walikuwa wanaitegemea angalau wasome, na wawakomboe wa nyumbani kwao nazo meweka mfukoni.

Sasa unafikiri tunaelekea wapi siyo km kutoka 7.9 to 7.2.
Mgekuwa mnalengo la kufika 7.9 hivyo vyote nilivyoviorodhesha mgekuwa meshatimiza.
 
How Magufuli’s no-nonsense leadership is changing Tanzania
I liked your statement because it's a honest enquiry that we are all bound to attempt to provide a reasonable explanation. We can list a number of indicators that express changing trends in our country in various arena of life and service. We see that now there is a wide awakening among Tanzanians in their civic responsibility to pay taxes (The monthly and annual returns published by The TRA clearly does register this drastic change); Public officials are gradually becoming more responsible public servants than how it was in the past (we see improvement in clientele handling among officers in public offices); Government leaders (all levels) are more dedicated to their tasks than before (Few leaders nowadays can afford to remain in office without going out there in the field to follow up on matters of importance), cost cutting in government financial expenditure is from the State House to the Ward Office (a number of state projects are now funded from internal generated funds in a large margin); impunity is dying gradually in this country as daring attempts to face the Big Sharks" has been displayed so far. Just to highlight some few indicators that this country is undergoing change.

The much awaited changes are here at last. However, these good achievements (qualitative developments) need to be sustained by the much needed review of associated legislations and policies. Appreciated !!.
 
Naimani wewe utakuwa mwana kemia ujui lolote kuhusu uchumi mnadhani alikosea kutaja 7.9 ??? uchumi wetu umekua kwa 7.9% kwa robo ya kwanza maana yake ni kuwa kwa mwaka uchumi wetu uta range kwenye 7% kwa mwaka na niongezeko la 2.3 % kutoka 5.6% mwaka 2015 na mfumuko wa bei kutoka 5.1 to 4.9 sasa anataka tuwe tunacheza na ukuwaji wa 7.2% kwa mwaka sasa hapo kakosea nn????
Umeshamaliza mkuu. Haya nenda Lumumba ukachukue buku 7 yako.
Mwambie mzee wenu anapokuwa mbele za watu awe makini sana anachokiongea.
Nafikiri hii ni payback ya kuwadharirisha wale watoto wa udom aliowaita vi.la.za mbele ya media na halaiki ya watu na kule zanzibar angekuwa yy asingesign document za malif seif.
Najua alichokuwa anamaanisha. Ile kweny hiyo clip nimecheka sana japo inahuzunisha. Hii ndiyo faida ya kuwadharirisha wengine.
Ha ha ha lengo letu ni kufika kiwango wa 7.2. Km alikuwa ana maanisha hivyo tutaisoma namba zaid ya hapa
 
Ukweli ziara hii imewauma sana CHADEMA. Sijaelewa kwa nini aiseeee!
Lizaboni kwanini hukui ukaonesha japo umepevuka..sounds too childish..Chadema itawaumeje na why?? acha uswahili hizi ni zama za hapa kazi tuu..muda wa uswahili ulishapita ndo maana watu wa aina yako ndani ya chama wanaisoma namba na hii ni pamoja na katibu wenu mkuu..hivi zile ICD zake pale shaurimoyo bado zipo?
 
Mbona mnahangaika na magazeti wakuu wakati hali halisi inaoenekana.. kumbukeni magazeti yana mrengo fulani kwa hiyo sio kitu cha kulzia usingizini na kutolea mfano...ukwelini kuwa HALI SI SHWARI HUKU MTAANI. acheni mbwembwe.
 
Kumbe CHADEMA wapo hadi Kenya?.
Soma mtiririko wa maongezi na niliyem-quote, kisha jilazimishe kuelewa. Usiwe mkurupukaji kiasi hicjo kama uko haja kubwa choo cha kuchuchumaa kisha kaingia mtu kisa hukufunga mlango.
 
Mwenye Enzi Mungu wetu mbariki rais wetu milele. ..Amen RA
 
Back
Top Bottom