TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Askari polisi Rombo mkuu akitoka kwenye nyumba yake.
Zimetengenezwa kwa mbao.
Wapiga mabomu ya machozi kwa wananchi wanao dai haki zao wanaishi humu na familia zao. Hapa ni Rombo mkuu
askari polisi rombo mkuu akitoka kwenye nyumba yake.
source: www.mjengwablog.com
zimetengenezwa kwa mbao.
Wapiga mabomu ya machozi kwa wananchi wanao dai haki zao wanaishi humu na familia zao. Hapa ni rombo mkuu
Lakini uwezo wao wa kielimu ni mdogo sana wengi ni failure wa iv au vi
ukitaka kum control mti tafuta asie na elim
halafu bado wana ujasiri wa kuwaua kwa risasi walalahoi wenzao,..hali mbaya kwa hawa watu.
Na ndio maana wanafanya kama kuku (wanawafuga) huko kambini au line kama mnavyoita. Sio nyumba za kuishi mtu anayelinda maisha na mali za wananchi na ndio maana mtaendelea kuua raia, kuiba, kula rushwa na kuomba omba bia na viofa. Kwani hamjaambiwa msiombe rushwa au msinyanyase mwananchi wala kumbamkia kesi, au hilo la kugoma ndio limewaingia vichwani tu. Acha upolisi tu nenda hata kabrash viatu. mnawalinda mnawaibia kura kisha wanawaweka kwenye mabanda ya kukuTumeambiwa hatutakiwi kugoma... Askari aina zote,Idara ya Maji,Tanesco,na Idara ya Afya...
So,tunacope,kama si kukomaa na hali...