jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Natamani ningekuwepo hapo,yaani nisingebakisha hata mfupa mmoja wa huyo bazazi,kilakitu kingegeuka kuwa nyama.nywele,kucha na hata vinyweleo vyote ningevitransform kuwa nyama!!!Kijana huyu ambae ni kibaka akikaribia kukatishiwa maisha yake baada ya kukamatwa akimuibia mtu.