Shida ni kwamba hawa wenzetu kwao mamalamiko ni sehemu ya maisha yao, mbaya zaidi ni yasiyo na msingi zaidi ya majungu ya mtu aliyeshindwa. Ndio maana wakati tunajidhatiti kuiandaa katiba mpya itakayotuletea mabadiliko, wenzetu wao kilio chao ni kutambulika kikatiba ufugaji wa ndevu na kuvaa vilemba ofisini, ina maana yote yanayohusu kilimo, biashara, shule, muundo wa serikali n.k wao hawana shida nayo, tufanye sisi wao wako bize na ndevu na OIC.