Angalia Mtazamo wa Wazanzibari

Nakumbuka mwaka 2000 kamasikosei kwenye kikao cha maheadmaster wakashauri matokeo ya wakristo yawe yanatoka tofauti na ya waislam ie kishule.
Ndo ukaanza utaratibu wa shule zenye watu wengi na zenye wanafunzi wachache bse waliona mission kila siku ziko kidedea.
Ebu nielimisheni kwani NECTA si huwa wanatumia namba kumark papers au utaratibu umebadilika!
On a serious note Muislam na elimu dunia wapi na wapi mko busy na madrasat!
 
Mkuu unauhakika na maneno yaKO AU UMEAMKA TU UKAKURUPUKIA JAMVINI HIVI HAO WAISLAM NDIO WANAFELI TUU MMEZIDI KULALAMIKA NYIE FANYENI JUHUDI BINAFSI,HAMNA ZOGO NOWDAYS HAO WANAFELI KWA AKILI ZAO MBOVU WANAKARIRISHWA MAMBO MENGI KULIKO YA DARASANA MUWE NA KIASI ,ILANI YA MKAMATE SANA ELIMU HAIPO KWAO IPO MKAMATE SANA DINI SASA UNATEGEMEA NINI ,ACHENI UDINI NYIE HUFIKI NAYO POPOTE WEWE,WEWE UNATEGEMEA Bilal na Mrisho waache kazi zao wakaangaikie waislamu peke yao walipewa dhamana ya kuangaikia wananchi wote bila kuchagua dini yyote.
 
Mkuu hamna kitu akilini tupo nao kila siku .walalamishi sana hawa na hawajiwezi kwa kila kitu.
 
EEEeeeeeeiiiiii Jamani .. Polepole..ehe!! sasa matusi ya nini..!!

Mimi nadhani kuna TATIZO KUBWA SANA SEHEMU FLAN, Kuna mapandikizi ya watu wanaojiita waislam au hata wakristu lakini si kweli kwamba ni wapenzi wa dini husika, kazi yao ni kudhalilisha dini za Mwenyezi Mungu kwa kuandika taarifa ambazo zitaidhalilisha dini flani mbele ya jamii

.. Toka lini Masuala ya elimu yakamegeana na dini? ni kama mtu asemaye mapenzi yana dawa ni kudhalilishana tu. kwanza unaposema watu wanafelishwa ni kitu cha ajabu sana, watahiniwa hawaambatanishi majina yao na namba za mitihani yao sambamba, vitu hivi hutengwa, na msahihishaji asahishapo hajui kama huyu ni hamisi, ramadhani, neema, au Joni.. anapambana na namba ya mtahiniwa tena bila kujua ni wa jinsia gani na akimaliza kibarua chake humpatia karatasi mwenzie ambaye huhakikisha je ni kweli alivyosahihisha? na mwisho kiongozi wa stesheni huhakikisha, sasa wote hao watatu wanaweza kumchakachua mtu wasiyemjua?, wakimaliza huorodhesha matokeo na baadae kazi yote hupelekwa kwenye database yenye kumbukumbu ya majina na kuoanisha kabla ya kuyatangaza. na "Database" husika inabema maelfu ya majina na ukiikoroga tu kidogo umeharibu kila kitu. sasa nani huyo atokee ati achezeshe huyu afeli huyu asifeli, jamani mbona mambo ya aibu haya. vilevile maelfu ya wakristu wana majina ya kiislam, kusikia padri au mchungaji Ramadhani, Husein, Juma ni kitu cha kawaida kwenye jamii yetu, sasa nani huyo ati aangalie huyu ingawa ana jina la kikristu lakini inawezekana ni mwislam huyu wacha nimfelishe!!!! shit!! ni upuuzi na utani wa kudhalilisha Dini huu..Dini hizi zimekuja juzi tu hapa TZ, tulikuwa na majina yetu wajanja hawa wakatupachikia imani na dini zao plus majina yao kwamba tunakuwa hata wendawazimu wa kuandika wazimu gazetini.Dini ziliikuta jamii ya Kitanzania isitoshe zaweza ondoka Tanzania ikabaki pale pale.

.. Inakuwaje Mwandishi anapata nafasi ya kutumia kalamu yake kuandika kitu kama hii, kisha mhariri mkuu anasema Inshallah iandikwe, kisha Jopo la pasmota ya gazeti wanaridhia Habari kama hii itolewe, yenye kuleta aibu na kudhalilisha heshima na utu wa ustaarabu wa Dini na kisiwa chetu hifadhi ya neema ya marashi ya Karafuu na Utalii?

Kama Mchangiaji alivyosema, elimu ni mapambano, nadhani tupambane, lakini pia si hekima wachangiaji wakatumia mwanya huu kudhalilisha utu na Heshima za dini zetu za Ubudha, Uyoga, Ukristu au uislam.. Tuheshimiane kama jamii.. akiropoka mlemavu wa kimawazo na mtazamo mmoja basi tusionekane wote kuku na kuporomoshewa mimatusi..

ALAMSIK..
 
Suala la kufelishwa kwa wazaznibari mimi siliafiki kabisaaaaa,,,,na wasihusishe na uzanzibari wao wala uislam wao,,,,,jaman waislam wangapi tumepita kwenye mikono ya NECTA?????wazenj wangapi wamepita huko????mimi nachukia sana muislam mwenzangu anapolalama eti tunaonewa na kila siku nasema na ntasema sana,,,,mimi ni mwalimu na nnafundisha taasis ya kiislam,,,,,MATATIZO YAPO NDANI YA TAASISI ZETU,,,,SI NECTA ,,,,,wazaz wa kiislam wajipange,,,kuna wazaz hawajafata ripot za watoto zao,,,,hadi leo tena za mwaka jana mwezi JUNE,,,kuna mwanafunz wangu mmoja babake hajui anasoma shule gani na form ngapi(si ucheshi huu),,,,mzaz huyu nae atasema waislam wanaonewa mwanaye atakapofeli,,,,,nimesoma islamic school na nnafanya kazi huko,nazijua ndani nje,,,,hakuna wa kumlaumu,,,,jaman msimlaum ndalichako jamani,,,,wazenj uvivu wenu wa kusoma msiuhushishe na muungano,msiuhushishe na mambo ya ukristo,jaman someniiiiiii,ukisoma utafaulu tu,,,hakuna miracle,,,,EDUCATION IZ WAR,,,,pambaneni

Mkuu wewe inafaa uwaelimishe wenzio kuhusu hili!
Nashukuru kwa upande wako umelitambua!
 
Maisha ni mapambano! Na mapambano hayo hutokana na jinsi wewe mwenyewe utakavyo jitahidi kimasomo shuleni siyo msikitini/madrasat wala kwenye makongamano ya kikristu pale jangwani. Dini ni imani tu na haikufikishi popote duniani zaidi ya kuwa mnafiki na kujiona wewe ni bora zaidi ya wenzako. Si muislam si mkristu ukiweka dini ndiyo msingi wa maisha yako then you are doomed kwani utaona jamii inakuonea wakati ni wewe mwenyewe ndiye unaye ji-victimize. Ebu jiulizeni, kuna faida gani kumpeleka mtoto madrasat kuliko shuleni? Wazazi hupeleka watoto wao shuleni for a reason siyo kwa kubahatisha kwa sababu wanajua elimu ndiyo msingi wa maendeleo yao na siyo dini. Mbona waislam wengi sana wamesoma na wana maisha mazuri tu? Ndugu zangu waislam, msiishi maisha yenu kutokana na kanuni za dini yenu kwani zile kanuni zipo kwa ajili ya kumkandamiza mwanamke na kumnufaisha mwanamne. Someni na mtafika mnakotarajia ila DINI will NEVER get you anywhere mtabaki kulalamika tu kuwa mnaonewa!
 
Napata mashaka kama kichwa chako kina ubongo au matope

Mkuu hoja yangu ni kwamba kama si wazanzibari wote wanaowaza kwa rivasi mambo kama haya ya fikra tindi-mkanganyo mngeyamaliza wenyewe kuliko kuyamwaga kwenye jamii na kujiaibisha. Madhali hakuna mzenji anayejitokeza kuonyesha rational thinking kwa kuwakemea wenye fikra finyu hizi hapo ndipo mnaponiacha hoi na ndo ninapopata mashaka kama kuna anayefiri kama binadamu wa kawaida.
 
Hivi,, hapo kwenye hilo gazeti pameandikwa WAZANZIBARI?

mbona mnakereketwa sana na wazanzibari!!!
 
Dai lao linaweza kushughulikiwa baada tu ya kuwapa ni namna gani mitihani inasahihishwa,hivyo baraza la mitihani wana kazi ndogo tu ya kuwaelimisha.
 
Regarding academic performace is situation SIGNIFICANTLY better on mainland or rather a case looking at speck in yours brother's eye and not noticing the log in your eyes?
 
Dai lao linaweza kushughulikiwa baada tu ya kuwapa ni namna gani mitihani inasahihishwa,hivyo baraza la mitihani wana kazi ndogo tu ya kuwaelimisha.
 
Haya ndio matatizo ya kutokuwa na uwezo wa kifikra, ikifika mahali uwezo wa kuwaza ukiwa juu ya ule wa kufikiri haya ndio uwa matokeo yake.
Tunachokiona hapa ni ngazi ndogo sana ya udadavuaji wa mtu mwenya fikra duni.Hili halipo kwa Wazanzibar tu bali ni kwa dunia ya tatu kwa ujumla. Ni ile hulka ya kudhani kwamba hauwezi kwani unakandamizwa na utaweza tu pale ukiwezeshwa.
Mimi binafsi huwa nawashangaa Wazanzibar, wamesahau kabisa wale bibi na babu zao waliokuwa wakitumikishwa kwenye mashamba ya karafuu ni Watanganyika tena kwa asilimia kubwa ni Wanyamwezi na makabila mengine ambayo kwa miaka ya sasa ni yale yanayoishi sambamba na reli ya uhuru.
Imefika mahali inabidi wajitambue!
 
Rais, Makamu, mkuu wa Usalama wa taifa, mkuu wa polisi, Wizara ya Elimu waziri Dr. Shukuru Kawambwa (Muislam) Katibu Mkuu Prof. Hamisi Dienga (Muislam). (hawa wafukuzeni uislama kama ameshindwa kudhibiti wakristu hadi wanafanya mambao mnayodai japo siamini hata chembe) Niliowataja hapo juu sio watoto ni vichwa
Naamini wamepewa vyeo hivyo kwasababu wanasifa. Na kama wamepewa kwasababu ni waislam basi aliyewapa ndoo wakulaumiwa kwani hawajatimiza jukumu lao la msingi ambalo ni kuboresha shule za kiislam. Ndg zangu waislam mimi ni mkristu lakini nawaomba jaribuni kuyatazama matatizo yenu kwa jicho lingine. Sio tu hili moja la udini. Serikali ya sasa wamejaa waislam lakin hawajafanya lolote la maana kuboresha maisha ya waislam wenzao. Ona maisha yalivyo mikoa ambayo waislam ni wengi. wapi wamenga hospital mpya? Wapi chuo kipya? wapi barabara nzuri, maskini ndugu zangu wa lindi, hata kukamilishiwa karami ka ikwilil. WAMEJAZANA SERIKALINI LAKINI HAWANA AGENDA. Uislam kwao ni daraja tu sio jukumu la kusaidia wenzao.
 
Back
Top Bottom