Angalia Mtazamo wa Wazanzibari

TIQO

JF-Expert Member
Jan 8, 2011
13,787
2,078
SAM_1938.JPG


Wamesahau kuwa watoto wao wanawashindisha Madrassa kuliko Shuleni wakitaga wanakuja na hoja dhaifu kama hizi.
Wazanzibar mnajitia aibu jamani badilikeni
 
ni kweli wanafelishwa iundwe kamati ..sijui Bilal na Mrisho Kikwete wako wapi..labda hizi taarifa haziwafikiagi ..hawa ndio wanaoteua baraza la mawaziri ..wasipowasaidia waislamu wenzao nani atawasaidia? mimi najua wanapendana ni bora iundwe timu iende kuonana na Rais ama makamu wa rais hii ni too much sasa .
 
Dah wanafelishwa maksudi kwa vile majina yao waislam hii haingii akilini mbona waziri wa Elimu ni muislam!
 
Suala la kufelishwa kwa wazaznibari mimi siliafiki kabisaaaaa,,,,na wasihusishe na uzanzibari wao wala uislam wao,,,,,jaman waislam wangapi tumepita kwenye mikono ya NECTA?????wazenj wangapi wamepita huko????mimi nachukia sana muislam mwenzangu anapolalama eti tunaonewa na kila siku nasema na ntasema sana,,,,mimi ni mwalimu na nnafundisha taasis ya kiislam,,,,,MATATIZO YAPO NDANI YA TAASISI ZETU,,,,SI NECTA ,,,,,wazaz wa kiislam wajipange,,,kuna wazaz hawajafata ripot za watoto zao,,,,hadi leo tena za mwaka jana mwezi JUNE,,,kuna mwanafunz wangu mmoja babake hajui anasoma shule gani na form ngapi(si ucheshi huu),,,,mzaz huyu nae atasema waislam wanaonewa mwanaye atakapofeli,,,,,nimesoma islamic school na nnafanya kazi huko,nazijua ndani nje,,,,hakuna wa kumlaumu,,,,jaman msimlaum ndalichako jamani,,,,wazenj uvivu wenu wa kusoma msiuhushishe na muungano,msiuhushishe na mambo ya ukristo,jaman someniiiiiii,ukisoma utafaulu tu,,,hakuna miracle,,,,EDUCATION IZ WAR,,,,pambaneni
 
Bajabir, taratibu ndugu yabgu, baadhi ya waislam hawataki kukosolewa, utaitwa msaliti............,
 
Hawa jamaa bado wana vichwa puto tu! yaani nje limevimba lakini ndani lina upepo na likigusa majani tu, linapasuka. Ebu waache uvivu wa kufikiria na wawaimize watoto wao kukomaa na shule kama vile wanavyowaimiza kwenda madrasa, kama hakutakuwa na mabadiliko katika suala hili nadhani wataendelea kulalamika hadi siku ya mwisho. Hivi Waziri wa Elimu si Muislamu, wakamuulize yeye kwa nini watoto wa ''Boko haramu'' wanafeli sana katika matokeo. Hata siku moja haiingii akilini na msituaminishe kuwa wanaonewa katika usahishaji kama vile wanaosahihisha mitihani hakuna waislamu au wanataka kusema kuwa wanaosahisha mitihani ni wakristo tupu? Wamuambie kaka yao JK awaweke waislamu tupu ktk kusahisha mitihani na waone kama itasaidia kupandisha kiwango cha ufaulu kwa watoto wa 'Boko Haramu''
 
Mkuu hawa watu watakuwa ni vichaa. Wakati wa kusahihisha mitihani kinachoonekana ni nambari ya mtihani ya mtahiniwa na siyo jina lake. Sasa iweje wanafunzi waislam wasahihishwe vibaya wakati hata majina yanakuwa hayapo? Badala ya kukaa wakilalamika ovyo ni bora wakajitahidi kusoma, wasitegemee elimu ni ya mteremko kiasi hicho.
 
Bajabir, taratibu ndugu yabgu, baadhi ya waislam hawataki kukosolewa, utaitwa msaliti............,

bila changamoto hatuwez kwenda,,,,waislam tunatabia ya kulalamika na kujifanya wanyooonge kabisa,,,,sasa unyonge wetu ndo tunautumia saaana
 
Suala la kufelishwa kwa wazaznibari mimi siliafiki kabisaaaaa,,,,na wasihusishe na uzanzibari wao wala uislam wao,,,,,jaman waislam wangapi tumepita kwenye mikono ya NECTA?????wazenj wangapi wamepita huko????mimi nachukia sana muislam mwenzangu anapolalama eti tunaonewa na kila siku nasema na ntasema sana,,,,mimi ni mwalimu na nnafundisha taasis ya kiislam,,,,,MATATIZO YAPO NDANI YA TAASISI ZETU,,,,SI NECTA ,,,,,wazaz wa kiislam wajipange,,,kuna wazaz hawajafata ripot za watoto zao,,,,hadi leo tena za mwaka jana mwezi JUNE,,,kuna mwanafunz wangu mmoja babake hajui anasoma shule gani na form ngapi(si ucheshi huu),,,,mzaz huyu nae atasema waislam wanaonewa mwanaye atakapofeli,,,,,nimesoma islamic school na nnafanya kazi huko,nazijua ndani nje,,,,hakuna wa kumlaumu,,,,jaman msimlaum ndalichako jamani,,,,wazenj uvivu wenu wa kusoma msiuhushishe na muungano,msiuhushishe na mambo ya ukristo,jaman someniiiiiii,ukisoma utafaulu tu,,,hakuna miracle,,,,EDUCATION IZ WAR,,,,pambaneni

Tumeshindwa kukaa chini na kutafakari nini kimesababisha kufeli kwao na sasa wanalalama kila uchao. waislamu wapo ambao walikomaa wakafaulu lkn tukiendelea kupaka hina ktka miili yetu lini na saa ngapi utasoma. lkn pia wakumbuke waliofeli si wao tu wapo pia wakristu na hata wasio kuwa na madhehebu nao pia walifeli, je nao wamlaumu nani? tafakari
 
Wala saaaana urojo, tende na haluwa hawa watu, saa ngapi watakumbuka shule?
 
hiLI GAZETI huwa nafuatilia sana habari zake, sijui wanaohusuika na usimamizi wa vyombo vya habari wanasubiri nini kulifungia....

KUna ile radio vilevile , sijui wako wapi hao wahusika waifungie....!!!!!
 
Tatizo hawajui kucheat, wanafunzi walipema majibu ya mitihani na kila mmoja kuandika sawa na wenzake... aibu mpk spelling zilizokosewa nao walinakiri hivyo hivyo! Shame kwa waalimu wa zenj!
 
Tumeshindwa kukaa chini na kutafakari nini kimesababisha kufeli kwao na sasa wanalalama kila uchao. waislamu wapo ambao walikomaa wakafaulu lkn tukiendelea kupaka hina ktka miili yetu lini na saa ngapi utasoma. lkn pia wakumbuke waliofeli si wao tu wapo pia wakristu na hata wasio kuwa na madhehebu nao pia walifeli, je nao wamlaumu nani? tafakari

sawa sawa mdau,,,je wakristo nao wafanyeje????maana ishu hapa imebase kwa waislamu tuuuu kwani wakristo hawafeli,,,,mimi huwa nawaambia vijana wa kiislam wasome wasitegemee kubebwa,,,,wasikubali kabisaaa kusikia issue ya KUONEWA
 
Tatizo hawajui kucheat, wanafunzi walipema majibu ya mitihani na kila mmoja kuandika sawa na wenzake... aibu mpk spelling zilizokosewa nao walinakiri hivyo hivyo! Shame kwa waalimu wa zenj!

mwaka jana kuna baadh ya mitihan ilivuja,,,na ilianzia zenj kwakweli sasa,,,,,wanalaumu nini???me ushahid ninao
 
Mkuu hawa watu watakuwa ni vichaa. Wakati wa kusahihisha mitihani kinachoonekana ni nambari ya mtihani ya mtahiniwa na siyo jina lake. Sasa iweje wanafunzi waislam wasahihishwe vibaya wakati hata majina yanakuwa hayapo? Badala ya kukaa wakilalamika ovyo ni bora wakajitahidi kusoma, wasitegemee elimu ni ya mteremko kiasi hicho.

issue ni kwamba kuna watu wanwadanganya,,,na wanatumia nafas hiyo kuwarubun wenzao,utaratibu wa NECTA UPO HIVI,,,,,
mitihan inaposahihishwa,,,,huwa wanasahihisha shule 1 badala ya nyingine,,,,na kila mwalim ana-marking scheme yake na huwa ana swali lake,pia kuna mtu ana kazi ya kuingiza data (marks) baada ya marking kwenye fomu maalum,then kwenye pannel ile kuna wadau ambao wanasimamia,endapo msahihishaj amempendelea mtu au kumuone basi atawajibishwa kuurudia,
lakin pia wanaokata rufaa huwa wanasikilizwa,walim hutumiwa barua na NECTA kwa ajili ya (RE-MARKING)
 
Mkuu Bajabiri taratibu wenyewe wakikusikia, hawapendi kuambiwa ukweli na hawana wivu wa maendeleo ya elimu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom