Angalia Mtazamo wa Wazanzibari

EEEeeeeeeiiiiii Jamani .. Polepole..ehe!! sasa matusi ya nini..!!

Mimi nadhani kuna TATIZO KUBWA SANA SEHEMU FLAN, Kuna mapandikizi ya watu wanaojiita waislam au hata wakristu lakini si kweli kwamba ni wapenzi wa dini husika, kazi yao ni kudhalilisha dini za Mwenyezi Mungu kwa kuandika taarifa ambazo zitaidhalilisha dini flani mbele ya jamii

.. Toka lini Masuala ya elimu yakamegeana na dini? ni kama mtu asemaye mapenzi yana dawa ni kudhalilishana tu. kwanza unaposema watu wanafelishwa ni kitu cha ajabu sana, watahiniwa hawaambatanishi majina yao na namba za mitihani yao sambamba, vitu hivi hutengwa, na msahihishaji asahishapo hajui kama huyu ni hamisi, ramadhani, neema, au Joni.. anapambana na namba ya mtahiniwa tena bila kujua ni wa jinsia gani na akimaliza kibarua chake humpatia karatasi mwenzie ambaye huhakikisha je ni kweli alivyosahihisha? na mwisho kiongozi wa stesheni huhakikisha, sasa wote hao watatu wanaweza kumchakachua mtu wasiyemjua?, wakimaliza huorodhesha matokeo na baadae kazi yote hupelekwa kwenye database yenye kumbukumbu ya majina na kuoanisha kabla ya kuyatangaza. na "Database" husika inabema maelfu ya majina na ukiikoroga tu kidogo umeharibu kila kitu. sasa nani huyo atokee ati achezeshe huyu afeli huyu asifeli, jamani mbona mambo ya aibu haya. vilevile maelfu ya wakristu wana majina ya kiislam, kusikia padri au mchungaji Ramadhani, Husein, Juma ni kitu cha kawaida kwenye jamii yetu, sasa nani huyo ati aangalie huyu ingawa ana jina la kikristu lakini inawezekana ni mwislam huyu wacha nimfelishe!!!! shit!! ni upuuzi na utani wa kudhalilisha Dini huu..Dini hizi zimekuja juzi tu hapa TZ, tulikuwa na majina yetu wajanja hawa wakatupachikia imani na dini zao plus majina yao kwamba tunakuwa hata wendawazimu wa kuandika wazimu gazetini.Dini ziliikuta jamii ya Kitanzania isitoshe zaweza ondoka Tanzania ikabaki pale pale.

.. Inakuwaje Mwandishi anapata nafasi ya kutumia kalamu yake kuandika kitu kama hii, kisha mhariri mkuu anasema Inshallah iandikwe, kisha Jopo la pasmota ya gazeti wanaridhia Habari kama hii itolewe, yenye kuleta aibu na kudhalilisha heshima na utu wa ustaarabu wa Dini na kisiwa chetu hifadhi ya neema ya marashi ya Karafuu na Utalii?

Kama Mchangiaji alivyosema, elimu ni mapambano, nadhani tupambane, lakini pia si hekima wachangiaji wakatumia mwanya huu kudhalilisha utu na Heshima za dini zetu za Ubudha, Uyoga, Ukristu au uislam.. Tuheshimiane kama jamii.. akiropoka mlemavu wa kimawazo na mtazamo mmoja basi tusionekane wote kuku na kuporomoshewa mimatusi..

ALAMSIK..
mama kuanzia leo nakuheshimu na kweli unastahili kuwa first lady kwa hekima hizi
 
Tumezoea kwamba mara zote waislamu ni watu wa kulalama tuu. Lakini hebu tuangalie vizuri hoja zao:
1. Wasahihishaji mitihani huwa ni waalimu ambao ni wataalamu katika somo husika. Bila shaka wakati wa usahihishaji wanaona trend ya ufaulu na alama kwenye karatasi. Hivyo hawa waalimu leo wakilalamikia kwamba Islamic knowlegde kwanini hakuna A, B wala C bali kuna D 7 tuu ... hata mimi napata mashaka kidogo na hilo Baraza la mitihani.
2. Nadhani miaka iliyopita kulikua na A's, B's nk kwenye somo hilo hilo la Islamic knowledge ... wakati huo somo hilo lilikua na paper tatu ... mwaka huu paper zilikua mbili tuu na ghafla hizo gredi zimetoweka. Hapa pia napata shaka.

Binafsi siamini kama Baraza la Mitihani lina hujumu Uisilamu. Na ili kuhakikisha hivyo, naomba Baraza wajitokeze wajibu hizi tuhuma kwa ufasaha, na waoneshe kweli kubadili kutoka paper tatu hadi mbili hakujaathiri kwa namna yoyote matokeo ya somo la elimu ya dini ya kiislamu.
 
Mkuu hawa watu watakuwa ni vichaa. Wakati wa kusahihisha mitihani kinachoonekana ni nambari ya mtihani ya mtahiniwa na siyo jina lake. Sasa iweje wanafunzi waislam wasahihishwe vibaya wakati hata majina yanakuwa hayapo? Badala ya kukaa wakilalamika ovyo ni bora wakajitahidi kusoma, wasitegemee elimu ni ya mteremko kiasi hicho.

hapo ndo panapoposhangaza kutokuwa na elimu ndiko kunakowafanya waongee vi2 ambavyo hawavielewe kuweni wastaarabu na watu wenye hekima kwa kuongea vitu vya msingi ndugu ze2.itc all over
 
WANAANDIKA MNACHOPENDA KUSIKIA. KUWAJAZA UJINGA MAAMUMA, KUENDEKEZA FITINA NA CHUKI DHIDI YA WAKRISTO. Ni kama kinda la ndege, anacholetewa na mama yake ndo anameza. The best thing Christians are as humble as their King Jesus. It is very difficult to provoke them with this kind of shit!!
 
Hizi hoja nyepesi zinatumaliza watanzania,jamani tufanye kazi,watu wanachukua ardhi na rasilimali sisi tunalumbana tu huu ujinga utaisha lini?
 
nikiwa rais cha kwanza ndani ya siku mia ni kuvunjilia mbali huu upumbavu muhungano nishughulikie madini kwa ajili ya watanganyika tu na wala sio wale wagunya
 
Tumeshindwa kukaa chini na kutafakari nini kimesababisha kufeli kwao na sasa wanalalama kila uchao. waislamu wapo ambao walikomaa wakafaulu lkn tukiendelea kupaka hina ktka miili yetu lini na saa ngapi utasoma. lkn pia wakumbuke waliofeli si wao tu wapo pia wakristu na hata wasio kuwa na madhehebu nao pia walifeli, je nao wamlaumu nani? tafakari

ngoja kwanza niulize: hivi yule binti- Mwanaasha JMK alionewa?, maana she became the black sheep of feza sec...............
 
Tatizo hawajui kucheat, wanafunzi walipema majibu ya mitihani na kila mmoja kuandika sawa na wenzake... aibu mpk spelling zilizokosewa nao walinakiri hivyo hivyo! Shame kwa waalimu wa zenj!

Kibunangounatambulika kwa wazanzibari wengi endelea hivyo hivyo lakini kumbuka hivi sasa wewe umefunguwa ukurasa mpya katika maisha yako naimani unanifahamu nini nazungumzia, hapa nyumbani kwetu zanzibar tuna methali inayosema penye kuku wengi usimwage mtama,unaielewa vizuri Zanzibar na viongozi wake pamoja na watu wake ,kama mimi ningekuwa wewe basi ningekuwa na hadhari sana na kuwakebehi wazanzibari unaelewa kuwa watu wenywe hawapigiwi wanacheza.
 
Niliwahi kuambiwa, kuna mapandikizi wa watu wa Mataifa kutoka nchi za Mashariki yanayotaka Zanzibar ijitenge, hivyo hutumia kila mbinu chafu kama; kuanzisha vikundi vya uamsho, kuandika nyaraka UN, kushawishi wananchi wagomee baadhi ya maamuzi (kama lile suala la kuongeza bandari), kutataka Tanzania ijiunge na OIC, kutaka Mahakama ya Kadhi n.k. Hivyo napenda kuamini ya kwamba KUNA KUNDI LA WATU LIMETEKA AKILI ZA WATU WENYE USHAWISHI ILI KUBOMOA MUUNGANO.

Napenda sana kufuatilia habari, kila nikifuatilia vyanzo vya habari vya Kiislamu nakutana na habari zinazoelezea chuki dhidi ya Ukristo na Serikali ya Muungano wakati wote.
Vyombo vya habari vya Kiisalamu vinatumika kueneza chuki, huki serikali ikivifumbia macho. Je kuna nini?????
 
watuambie kuwa V Presidaa, Prof Haroub Othman (RIP), rais wao sio waislam hao na walifaulu TZ hii hii
 
Mungu awasaidie tu hawa Wazanzibar wa watu maana wengi wao huwa wanakurupuka kulaumu tu baada ya kujazwa chuki na vikundi vya wahuni kama UAMSHO ambao kazi yao ni kuhubiri chuku dhidi ya wakristo na Muungano usiku na mchana. Hata wanaochangia mada hapa na kuunga mkono suala la waislamu kuonewa kwenye kusahisha mitihani sina uhakika kama hawajui kuwa mitihani ya taifa huandikwa namba tu na sio majina. Nilikuwa naamini kwamba huu umbumbumbu upo kwa wachache wasio na uelewa mpana juu ya usahihishaji wa mitihani haswa vijiweni huko, kumbe hata GREAT THINKERS wengine humu wanatetea hizi propaganda lol!!
 
Hahaaa kuna kipindi eatv kinaitwa hot mix yaani sikielewi kama hawa shemeji zangu wazenji
 
Mkuu hawa watu watakuwa ni vichaa. Wakati wa kusahihisha mitihani kinachoonekana ni nambari ya mtihani ya mtahiniwa na siyo jina lake. Sasa iweje wanafunzi waislam wasahihishwe vibaya wakati hata majina yanakuwa hayapo? Badala ya kukaa wakilalamika ovyo ni bora wakajitahidi kusoma, wasitegemee elimu ni ya mteremko kiasi hicho.

Asante kaka/dada kwa ufafanuzi, kuwa, makaratasi ya mitihani haiandikwi majina ya watahiniwa bali namba zao za mitihani!

Sasa labda na hao wasahihishaji wana maelekezo kuwa wakihisi mwandiko huu ni wa "kiboko haramu" wakiseshe! Lau basi pengine hao watahiniwa huwa wanaandika namba zao za mtihani kwa kiarabu na wasahihishaji kwa hali hiyo ni wakristo - (coincidence ya hali ya juu sana)

Anyway, waislamu hao wanaolalamika wajitahidi kuwahimiza watoto wao wasome kwa bidii zaidi, waache kushabikia urojo na mihandhara isiokuwa na tija katika jamiii!

Sorry for them
 
SAM_1938.JPG


Wamesahau kuwa watoto wao wanawashindisha Madrassa kuliko Shuleni wakitaga wanakuja na hoja dhaifu kama hizi.
Wazanzibar mnajitia aibu jamani badilikeni
issue hapo si Uzanzibar, Wagalatia mna roho ya choyo na ndo maana mnakurupuka kuchangia ! Mmejaa dharau na kiburi, lete 'contents' za hiyo habari, lakini karibuni tu mtaumbuka. Walim wa Kiislaam wanahoji iweje 70pcnt ya Wanafunzi wafeli Islamic Knowl. Lakini hapo hapo 90pcnt wamepasi Bible Knowl ? Imejengwa hoja kwa data ! Na hili litaumbua watu karibuni tuu !
 
issue hapo si Uzanzibar, Wagalatia mna roho ya choyo na ndo maana mnakurupuka kuchangia ! Mmejaa dharau na kiburi, lete 'contents' za hiyo habari, lakini karibuni tu mtaumbuka. Walim wa Kiislaam wanahoji iweje 70pcnt ya Wanafunzi wafeli Islamic Knowl. Lakini hapo hapo 90pcnt wamepasi Bible Knowl ? Imejengwa hoja kwa data ! Na hili litaumbua watu karibuni tuu !

wewe sheikh iyo paper ya Islamic knowledge inaulizwa kwa lugha gani?
 
Tumezoea kwamba mara zote waislamu ni watu wa kulalama tuu. Lakini hebu tuangalie vizuri hoja zao:
1. Wasahihishaji mitihani huwa ni waalimu ambao ni wataalamu katika somo husika. Bila shaka wakati wa usahihishaji wanaona trend ya ufaulu na alama kwenye karatasi. Hivyo hawa waalimu leo wakilalamikia kwamba Islamic knowlegde kwanini hakuna A, B wala C bali kuna D 7 tuu ... hata mimi napata mashaka kidogo na hilo Baraza la mitihani.
2. Nadhani miaka iliyopita kulikua na A's, B's nk kwenye somo hilo hilo la Islamic knowledge ... wakati huo somo hilo lilikua na paper tatu ... mwaka huu paper zilikua mbili tuu na ghafla hizo gredi zimetoweka. Hapa pia napata shaka.

Binafsi siamini kama Baraza la Mitihani lina hujumu Uisilamu. Na ili kuhakikisha hivyo, naomba Baraza wajitokeze wajibu hizi tuhuma kwa ufasaha, na waoneshe kweli kubadili kutoka paper tatu hadi mbili hakujaathiri kwa namna yoyote matokeo ya somo la elimu ya dini ya kiislamu.
mdogo wangu ni mkali ile mbaya wa dini, kahifadhi juzuu zote, eti anapata F !
 
Back
Top Bottom