Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Wanasiasa wanafiki sana angalia hapa jamaa alivyo wadondokea wapiga kura.
Hao hao wamemchagua leo hii anawakimbia na kujifungia kwenye v8 huku hao walio mpaka kibarua cha kuwatumikia wakitaabika hakuna madawati, barabara mbovu, hakuna madawa kwenye zahanati, hakuna maji salama n.k