hizo ni ndoto, ukitaka kujenga flyover ubungo inabidi ufumue stand ya mkoa, ubungo maji, stand ya daladala, power stations zote, tanesco kitu ambacho hakuna atakae kuelewa.
Nairobi........ Roads...
![]()
![]()
![]()
zote hapo ni narobi kweli?...
naibo wap na wap....mkuu?
Mnawachagua wenyewe wakati wa uchaguzi halafu hamuishi kulalama. Just shut the f.......up
Tatizo hatuna serikali iliyo series, hizo barabara za juu wala sio inshu kubwa sana basi tu, nimekuta fly over adis ababa na umaskini wao wanazo