Angalia hizi barabara

Angalia hizi barabara

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
vlcsnap-2013-05-15-17h43m38s90.png

vlcsnap-2013-05-15-17h59m52s101.png

vlcsnap-2013-05-15-18h03m01s125.png

vlcsnap-2013-05-15-19h24m31s195.png

vlcsnap-2013-05-15-19h31m29s27.png

vlcsnap-2013-05-15-20h22m34s205.png

vlcsnap-2013-05-15-21h34m58s142.png

vlcsnap-2012-10-04-14h40m24s164.png

vlcsnap-2012-10-04-16h01m41s197.png vlcsnap-2012-10-04-16h01m41s197.png vlcsnap-2012-10-04-16h01m34s134.png

amazing.
 
Magufuli si aliliambia bunge ktk budget yake ya mwaka jana ameshaanza kujenga barabara ya jut tazara? Cjui ishakamilika?
 
Magufuli si aliliambia bunge ktk budget yake ya mwaka jana ameshaanza kujenga barabara ya jut tazara? Cjui ishakamilika?

Tatizo hatuna serikali iliyo series, hizo barabara za juu wala sio inshu kubwa sana basi tu, nimekuta fly over adis ababa na umaskini wao wanazo
 
hizo ni ndoto, ukitaka kujenga flyover ubungo inabidi ufumue stand ya mkoa, ubungo maji, stand ya daladala, power stations zote, tanesco kitu ambacho hakuna atakae kuelewa.
 
Ukitembea dubai barabara ni nzuri mpaka wajuta kwa nini nchi yetu maskini!

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Magufuli si aliliambia bunge ktk budget yake ya mwaka jana ameshaanza kujenga barabara ya jut tazara? Cjui ishakamilika?
ha ha ha ha ha!chezea siasa kaka!!bajeti ya mwaka huu ndo amesema wametenga fungu la kuanza maandalizi!!!
 
Ukitembea dubai barabara ni nzuri mpaka wajuta kwa nini nchi yetu maskini!

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
mkuu wala nchi siyo masikini!tunaweza kufanya yote hayo waliyo fanya Dubai ila...acha bwana nisije nkalia!!
 
hizo ni ndoto, ukitaka kujenga flyover ubungo inabidi ufumue stand ya mkoa, ubungo maji, stand ya daladala, power stations zote, tanesco kitu ambacho hakuna atakae kuelewa.

Tatizo kubwa la nchi hii ni kuweka mipango yao kufuatana na vipindi vya uchaguzi, kila kiongozi anafikiria miaka mitano sio zaidi ya hayo.
 
hizo ni ndoto, ukitaka kujenga flyover ubungo inabidi ufumue stand ya mkoa, ubungo maji, stand ya daladala, power stations zote, tanesco kitu ambacho hakuna atakae kuelewa.

Dubai mzee wana barabara za hatari angalia barabara inayoingia sharjah toka abu dhabi, inatembeza gari 6 kwa pamoja, yaani dreva unakuwa huru.barabarani, sisi hiyo 2 ways kupeleka chalinze tu imetushinda
 
Tatizo hatuna serikali iliyo series, hizo barabara za juu wala sio inshu kubwa sana basi tu, nimekuta fly over adis ababa na umaskini wao wanazo

Ethiopia wana maamuzi kwenye mambo mengi na wameizidi Tanzania kwa mambo mengi. Ethiopia Airline, Ethiopia cargo, Chuo cha urubani na mafundi wa ndege, ni nchi ya kwanza kwa afrika kwa uzalishaji na uuzaji Wa asali Na ni ya nne duniani ktk sekta ya Nyuki,viwanda vya ngozi,kahawa,n.k Huwezi linganisha Bole Airport na Airport yetu ya Dar wala Kilimanjaro, wana barabara za uhakika, Yaani sisi nimichosho tu! Tunahitaji kubadili mfumo Wa utawala uliopo vinginevyo tutaishia kusifu vya wenzetu
 
yeah, kasoro mbili ambazo ni za egypt
 
Tatizo hatuna serikali iliyo series, hizo barabara za juu wala sio inshu kubwa sana basi tu, nimekuta fly over adis ababa na umaskini wao wanazo
Serikali ya aina hii lazima itakuwa Umeme. Labda itakapokuwa "parallel" itaweza kufanya mambo kama hayo. LOL
 
Hapa kwetu Tanzania jambo kama hili sio kuwa linashindikana...
Wakwamishaji wa ujenzi wa barabara za namna hii ni Serikali ya CCM...
Hawa jamaa kila jambo la maendeleo wao hugeuza kuwa la kisiasa...
Suala la ujenzi wa barabara hizo utasikia wameziingiza kwenye sijui ilani ya Uchaguzi...
Yote hayo ni kuwahadaa wapiga kura, na porojo zote kuzifanya kama mtaji wa kushika hatamu...
Unapoambiwa kuwa litajengwa daraja makutano ya TAZARA, tegemea jambo hilo kufanyika wakati wa uchaguzi na tegemea kulisikia kwenye majukwaa ya Kampeni za 2015...
 
kuna nyongine hapo zipo kwa Uhuru Kenyatta wenzetu wanawaza kujenga Tram sasa
 
Back
Top Bottom