Anga limechafuka

Kipindi hichi kigumu sana,ngoja tusubir ya Tanga na Handeni.tuletee tu Mshana tujue Nchi iko wapi ss
 
Hahaha mshana Jr. Hii ni ukweli mtupu
 
mchawi mkubwa wewe.


swissme

Daahhhh jf ni noma yaani haujamkopesha ni kavu live...nimecheka peke angu usiku huu maana hizi kauli uswazi wanazitoa vijeba waliozindikwa (Kwa maana anaiweza league)...

Lakini Mada za huyu jamaa zinamuonesha kama mtu anaevifanya na si anaehadithiwa au kuskiza story za vijiweni...... MUNGU NA WASTAARABU, SHETANI NA WAHUNI
 
huyu jamaa sometime i think its true what he right here and his doing that its not story.


swissme
 
Kaka mshana wengine walengeshe kwangu nishawatengeneza watatu mpaka sasa wako full guard hawaguswi hao 🙂
 
Mshana jr kwa mwendo huu...itakaa ule mema ya nchi..Punguza haya mambo bhana
 
Huku makazini ni hatari atiiii! Watu walozi vibaya sana...... Mtu anakula pesa ya serikali na anasahaulika hadaiwi, hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…