Nimejikuta nalia
Hata mm jmn huyo mtoto ame nitia huruma na machungu mnoNimejikuta nalia
Ndio watu wana visasi sna na huko kny familia kuna mtifuano mkali juu ya mali za Erasto. Polisi waanzie kwa muuaji wa Erasto nn chanzo cha kumuua Erasto.familia inaishije baada ya kifo cha Erasto.Kwa nn Anathe ameuwawa na nani yuko nyuma ya mauaji hayo. Kwa nn H. Girl alitoroka kabla ya mauaji kutokea lzm kuna mpango kabambe uliopangwa na ni wa mda mrefu sio kitu cha ghafla.How... Kuna mtu hakumpa mgao wake
Dhuluma za kibiashara...how...
Ndo wafanye ivi jmn
Inawezekana pia. Au alipewa mgao akaambiwa asepe apoteeSitashangaa nikisikia huyo hausi geri naye ameuawa
Jmn ht huyo mke wa mtu alietaka Anethe auwawe hakumfikuria yule mtoto? Inauma sn jmn watu sasa hivi hawafikirii kesho yao na kizazi chao kuwa itakuwaje wanawaza sasa hivi tu.I agree with you ni mambo ya mapenzi by 200%, mume wake wa ndoa akamatwe aojiwe na Kama ni kweli Annette alikua anatoka na mume wa mtu pia mke wa huyo mume wa mtu akamatwe abanwe
Yote haya kwa sbb tumeweka mno tamaa za dunia na kumsahau mungu. Tamaa ya pesa.Na kwamba hataamka milele kwamba hatamuona tena kwanini dunia imejaa maumivu mengi kiasi hiki ?
Likitolea jambo baya amalo halimpendezi muumba mungu huwa anafungua milango mingine. Tuseme kwa mfn huyo mtoto asingeamka asbh Anathe angekutwa ameoza ndani tushukuru kwa hilo pia.Yan mi sijalala usiku kucha wa kuamkia leo I am just thinking of the incidence..... dah
Imeniuma sana
ndio maana wengine walishashtukia hizi theory za Mungu na shetani hazi make sense whatsoever. Watu wanasema Mungu atawalinda wafiwa, Mungu unavyoona amekaa kama anaweza kulinda mtu kweli?Sijui kwa nini Mungu anaruhusu ukatili wa namna hii utokee.
Hakika binadamu wanekuwa wanyama mno hivi waliofanya hiki kitendo wanalala usingizi kabisa usiku au wavaweweseka ?Mtoto wa marehemu anahitaji ushauri nasaha na maombezi kwa savabu ile picha ya kumuona mama yake anaogelea kwenye dimbwi la damu na process yote ya kumkimbiza ndani ya nyumba.duhndio maana wengine walishashtukia hizi theory za Mungu na shetani hazi make sense whatsoever. Watu wanasema Mungu atawalinda wafiwa, Mungu unavyoona amekaa kama anaweza kulinda mtu kweli?
Tungepeleka watu nje kusomea forensic investigations na kuwekeza kwenye street cameras badala ya ku spend mabilioni kununua magari ya washa washa kupambana na raia.
Kwenye criminal adjudication tungeanzisha utaratibu wa plea bargaining kama nchi nyingine. Suspect atakaejitokeza au kukamatwa kwanza akitaja vinara wao au wenzie unampa nafuu ya mashitaka au adhabu. Inasaidia kwenye uchunguzi na kujenga kesi.
Ma house girl hawa nao ingesaidia tukawa tunachukua ma profile yao yote kabla ya kumuajiri. Sasa hivi nchi nzima ingetumwa APB ya huyu mfanyakazi wa ndani na picha kubwa mji mzima zingesambazwa kwenye mabango instead of mapicha ya Diamond na matangazo ya Tigo Cheka.
Vyombo vya habari navyo vingekuwa vinarusha marudio ya unsolved cases hata kama hakuna details nyingi zinazojulikana. Nchi za watu wanaonyesha vipindi vya mauaji ya miaka 10 iliyopita na mtu bado anatafutwa. Hii inamfanya pia mtu ajifikirie mara mbili kabla ya kuua. Hapa kwetu tukishazika tukasema "Bwana Ametwaa.... Inna Lilahi" tumefunga faili.
Poleni wote mlioguswa na hili tukio.Aisee ni kama mimi ambavyo sikulala siku niliyopata taarifa hizi
nasikia yule house girl kakamatwa tayari mwenye taarifa zaidi mtujuze
jambo usilolijuwa litakusumbua sana, erasto ni zaidi ya unavyomfaham au kumsikiaMali zipi hizo ......c watoto wake wapo na mkewe erasto