Android OS Update

Android OS Update

Wewe ni moja ya watu wanaokwepa responsibility zao. Naona unatafuta mtu wa kumuangushia jumba bovu.

Me najua sa
Hahahah dah. pole mkuu.

Wakati naroot simu for the first time nilikaa week nzima sipo hewani. Simu yangu haitaki kuwaka inafanya bootloop tu.

The day day nmefanikiwa kuroot nilijiona stupid sababu ni kitu ambacho kingechukua 15minutes tu ila kikanikula week nzima.
hapana mkuu... wewe kama unajua nielekeze tu
 
Hahahah dah. pole mkuu.

Wakati naroot simu for the first time nilikaa week nzima sipo hewani. Simu yangu haitaki kuwaka inafanya bootloop tu.

The day day nmefanikiwa kuroot nilijiona stupid sababu ni kitu ambacho kingechukua 15minutes tu ila kikanikula week nzima.
naomba unipe kwa ufupi steps za kuroot then nifatilie
 
naomba unipe kwa ufupi steps za kuroot then nifatilie
Ingia udemy.com kuna course kibao za kuroot simu. Nmeshindwa kuweka link hapa sababu ya sheria za jf.

Ila kuna simu flan za wamarekani ikiwemo AT&T nmesahau brand nyingine kama ni verizon au lah. Huwa zinasumbua sana kuroot.
 
Ingia udemy.com kuna course kibao za kuroot simu. Nmeshindwa kuweka link hapa sababu ya sheria za jf.

Ila kuna simu flan za wamarekani ikiwemo AT&T nmesahau brand nyingine kama ni verizon au lah. Huwa zinasumbua sana kuroot.
yangu ni s7 edge inagonga kazi vizuri tu ila nataka nitoke mashmallow niende oreo au noigat
 
yangu ni s7 edge inagonga kazi vizuri tu ila nataka nitoke mashmallow niende oreo au noigat
Ndo uingie huko Udemy utafute kuna kozi kibao za video zinaelezea namna ya kuroot.
 
wakuu ahsanteni nilifanikiwa kuipeleka s7 edge yangu oreo 8.0 sasa ipo gud napata update za security kama kawaida

saiv latest security yangu ni 1 septmber 2019
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom