Android OS Update

Android OS Update

mkuu saidia update ya s6edge kwenda 9.android
20190617_180348.jpeg
 
Ukijiskia siku unataka take risk niambie
Kuna hii oreo custom ya s6 edge..ni port ya note 8 kali sana
mimi nipo tayali mkuu mana hii current version kwangu sioni cha maana kabisa
 
Wakuu habari zenu.

Naomba msaada juu ya ku-update samsung s7 edge kutoka android 6 hadi 8(oreo) kwa custom room.

Lengo la kuomba ni kupata hiyo update kwa sababu hii simu ina verzon brand na sio international version, hivo nashindwa kuupgrade kwa njia ya kaiwaida inayotumika na wengi.

Nimejaribu kuserach google nimeona solution ila ni complicated sana

NOTE: nataka kufanya hiyo update bila ku-root simu
Wewe ni moja ya watu wanaokwepa responsibility zao. Naona unatafuta mtu wa kumuangushia jumba bovu.

Me najua samsung kila kitu kinaishia kwenye ODIN.
 
kaka nilisahau kufanya back up kwenye a5ylte na imei kwasasa ni "unknown"( sim card netwk hamna).. vipi una maujanja?
Hahahah dah. pole mkuu.

Wakati naroot simu for the first time nilikaa week nzima sipo hewani. Simu yangu haitaki kuwaka inafanya bootloop tu.

The day day nmefanikiwa kuroot nilijiona stupid sababu ni kitu ambacho kingechukua 15minutes tu ila kikanikula week nzima.
 
Shida sio odin,shida ni stock rom ya T mobile huku kwetu majanga,na converted rom nayo risk na adim kupata.so inabd utumie tu custom os
Wewe ni moja ya watu wanaokwepa responsibility zao. Naona unatafuta mtu wa kumuangushia jumba bovu.

Me najua samsung kila kitu kinaishia kwenye ODIN.
 
Mkuu samahani hivi Kama Sim imeandikwa operating system :Android 8.1 (go edition)

Halafu inaleta notification za ku update Ina maana nikiaupdate itakuwa Android 8.2 au??

Kwa sababu sielewi chochote juu ya haya mambo
 
Mkuu samahani hivi Kama Sim imeandikwa operating system :Android 8.1 (go edition)

Halafu inaleta notification za ku update Ina maana nikiaupdate itakuwa Android 8.2 au??

Kwa sababu sielewi chochote juu ya haya mambo
No simu gani hiyo.!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom