๐—”๐—ป๐—ฑ๐—ฟ๐—ผ๐—ถ๐—ฑ ๐—ป๐—ฎ ๐—ถ๐—ฝ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ฒ ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ฏ๐—ถ๐—ป๐—ด๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฝ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ฒ ๐—ฐ๐—ฎ๐—น๐—น

๐—”๐—ป๐—ฑ๐—ฟ๐—ผ๐—ถ๐—ฑ ๐—ป๐—ฎ ๐—ถ๐—ฝ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ฒ ๐—ป๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ฏ๐—ถ๐—ป๐—ด๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฝ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ฒ ๐—ฐ๐—ฎ๐—น๐—น

Teknolojia ni Yetu sote

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2020
Posts
1,221
Reaction score
2,425
Baada ya miaka mingi kupitia hatimaye Google wamefanya Mabadiliko kwenye app ya phone call kwa Watumiaji wa simu za Android.

Lakini pia kwa Watumiaji wa iphone walifanyiwa Mabadiliko kupitia ios 26 , lakini mpaka leo ๐Ÿ˜Œ mtumiaji wa simu ya iphone akipigiwa simu hakuna sehemu ya kukata ๐Ÿ˜ au nawasinigizia aiseeeh.




Lakini android unaweza kukata simu ya mtu aliyekupigia nani katisha kati ya iphone na Android tuachie maoni yako??

#bongotech255
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom