Kwa hili siyo kweli. Kuna majizi zaidi ya Chenge yamesoma Havard.chuo cha Harvard, kwamba kimefundisha mwizi
Kama awajulikani kwa Jamii yetu au awajapora kodi zetu still kengeza ndie mkali wetuKwa hili siyo kweli. Kuna majizi zaidi ya Chenge yamesoma Havard.
Una uhakika?Yupo dsm Mkuu mfumo haupo upande wake anabagaza kile alichoiba miaka ya nyuma.
Ooh kama unamaanisha wasomi wa hapa nchini waliosoma Havard kwa kweli sidhani kama yupo wa kumfikia Chenge kwa magumashi. Nilidhani unamaanisha na huko duniani...maana huko wapo wa kutosha tuKama awajulikani kwa Jamii yetu au awajapora kodi zetu still kengeza ndie mkali wetu
Alitest zali kwa tulia akala za usoNi wakili mbobezi aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Pia ni mwanasiasa nguli aliyehusishwa kwenye kashfa nyingi za kifisadi nchini.
Kwa Sasa Andrew Chenge hasikiki kabisa.
Yuko wapi nyoka mwenye makengeza?
Jioni mitaa masaki na O bey utamuona vijiwe moja baridi moja moto .....yupo sana tu Yaani.....benz yake Saafiii hana makuuNi wakili mbobezi aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Pia ni mwanasiasa nguli aliyehusishwa kwenye kashfa nyingi za kifisadi nchini.
Kwa Sasa Andrew Chenge hasikiki kabisa.
Yuko wapi nyoka mwenye makengeza?
VP 2025.....stay tune....!! Kama upepo hautabadilika mzee anakula gym daily kwa kipimo sahihi kujiweka fit....kwa nafasi hiyo pendwaHivi Benard Membe nae kapotelea wapi?
Nilijua alivyosherekea kifo cha jiwe angeonekana sana awamu hii?
Ooh,mwaka huo hata ccm haitokua kwenye kumbukumbu ya dunia nadhani.VP 2925.....stay tune....!! Kama upepo hautabadilika mzee anakula gym daily kwa kipimo sahihi kujiweka fit....kwa nafasi hiyo pendwa
RevisedOoh,mwaka huo hata ccm haitokua kwenye kumbukumbu ya dunia nadhani.
Harvard kasoma masters sio Degree ya kwanza.Huyo mzee inafaa apewe tuzo bora ya kulitia taifa hasara. Ni moja ya wasomi waliotumia vibaya elimu zao kuliibia taifa na kukidhalilisha chuo cha Harvard, kwamba kimefundisha mwizi.
I think he is calculating next episodeEnd of an era (or) He's rebooting (or) perhaps he's calculating his next moves on coming back !!
GuantanamoAlitakiwa awe Segerea yule.
Hivi Benard Membe nae kapotelea wapi?
Nilijua alivyosherekea kifo cha jiwe angeonekana sana awamu hii?