naungana na wewe! hilo jimbo liko wazi tokea mda ambao mahakama ilimpata A. Chenge na hatia so 2tangaziwe tarehe ya uchaguzi. Keshapoteza sifa ya kuwa kiongozi.:target:Mambo ya kisheria sasa hapo wadau mtusaidie. Nijuavyo mimi huyu "mweshimiwa" kapatikana na HATIA kwa kosa aliloshitakiwa nalo. Hata kama adhabu inaonekana ni ndogo sana, Amehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini sh 700,000. Cha msing hapa ni kwamba hakushinda kesi. Ameshindwa!!!!!
Sasa moja kwa moja kwa utawala unaojali sheria huyu kapoteza sifa ya kuwa kiongozi - Mbunge. Tume inatakiwa itangaze jimbo lake kuwa wazi, na uchaguzi mdogo ufanyike.
Naomba kutoa hoja.
naungana na wewe! hilo jimbo liko wazi tokea mda ambao mahakama ilimpata A. Chenge na hatia so 2tangaziwe tarehe ya uchaguzi. Keshapoteza sifa ya kuwa kiongozi.:target: