andoa shaka hakuna ugumu wowote kusoma ulaya

andoa shaka hakuna ugumu wowote kusoma ulaya

sonelojunior

Member
Joined
Jul 8, 2012
Posts
9
Reaction score
0
kutokana na watu kuwa na ufinyu wa mawazo kwa kutamani kusoma nchi ya nje lkn wanajiwekea kuwa lazima kutakuwa na mazingira magumu sasa nakutoa uoga huo.
yeyote anayetaka kusoma ulaya kwa level ya deploma , degree or master asisite kuitimiza haja yamoyo wake kwa kuwasiliana nami kwa namba hii+447424887518 or email mack2chris@gmail.com
 
safi sana,naomba upeleke post hii kule jukwaa la elimu,imetulia
 
kutokana na watu kuwa na ufinyu wa mawazo kwa kutamani kusoma nchi ya nje lkn wanajiwekea kuwa lazima kutakuwa na mazingira magumu sasa nakutoa uoga huo.
yeyote anayetaka kusoma ulaya kwa level ya deploma , degree or master asisite kuitimiza haja yamoyo wake kwa kuwasiliana nami kwa namba hii+447424887518 or email mack2chris@gmail.com

mkuu ebu fafanua vizuri unavyosema hakuna ugumu wowote kusoma ulaya unazungumzia hasa kwenye suala gani au nchi gani mkuu?? maana kama ni uk kama ni mtoto wa wa mkulima please wala msijaribu kuja kusoma bila kuwa na uhakika wa pesa za kujikimu lasivyo utaona ugumu wa maisha na vigezo vya international student kuja uk vimefanyiwa mabadilko kuanzia 1st april 2012 mwaka huu. agency wengi wanawadanganya sana vijana wa watu wakishapata admision mwanafunzi agency anapata commission yake mwanafunzi anakuja huku anasoma kwa shida sana hilo ninauzoefu nalo sema nashukuru mungu kwa upande wangu nilikuwa na uwezo wa kuweza kujikimu ila wengine nilikuwa naona wanavyohangaika sana hasa kwenye gharama za maisha na kumalizia ada zao, in general ni kwamba ukitaka kusoma uk lazima ujipange hasa na wala sio kama unavyoenda india ki ukweli lazima umwambie mtu uhalisia ajiandae ili asije akapata shida na lawama baadae, na kama anakuja kusoma kwenye vyuo vinavyotambulika na sio hivyo vya mtaani.
 
Kadhia za kusoma nje ya nchi ni subjective mkuu. Shida haiko kwenye pesa tu, mazingira, lugha kwa nchi zisizotumia kingereza, utamaduni, aina ya watu unaokutana nao, ubaguzi n.k. Kwa wale ambao wamesoma au wako masomoni nje ya nchi wanaweza elezea mengi waliyo/nayo kutana nao.
Ushauri: Unapoenda masomoni nje ya nchi tarajia mengi zaidi ya elimu iliyokupeleka.
 
Back
Top Bottom