Andiko kwa Heaven Sent kuhusu mwandiko wake

Mie nimefurahia tu na kupiga makofi. kui hawezi kutia neno ataishia kutabasamu tu. Ndiyo sababu nikaamua kuuchuna tu maana nilichokiona mimi yeye labda asingeweza kukiona. Si unajua binadamu tunaweza kuangalia kitu kile kile mwingine akakwambia hiki rangi yake ni hii na mwingine akasema rangi yake ni tofauti kabisa.

Hehe kwa hiyo ndo ushatuunganisha?

BAK Umeanza lini huo upambe jamani? Nakusemea kwa kui. Sasa ungem-pm nini yule mpendwa? Lol
 
Mie nimefurahia tu na kupiga makofi. kui hawezi kutia neno ataishia kutabasamu tu. Ndiyo sababu nikaamua kuuchuna tu maana nilichokiona mimi yeye labda asingeweza kukiona. Si unajua binadamu tunaweza kuangalia kitu kile kile mwingine akakwambia hiki rangi yake ni hii na mwingine akasema rangi yake ni tofauti kabisa.
Yeah sure. Unachokiona mwingine anaweza asikione kabisa. kui atakununia coz anampenda mno shem wake
 
To you Dearest Heaven Sent,

Seems like I have fallen in love with you…you are just the best! Now all I want to say is that I can't live without you and don't even want to. You are the best thing that has ever happened to me and i think you'll make my life complete. I adore you from my heart and soul and want to let you know that you are my little angel who i love the most. Only mwandiko wako was enough to fill my heart with this enormous LOVE. You make me so happy anytime i read ur post/comment..., that all I need now is you to make my life complete.

Your's the one and only Korboto.

cc atoto fanya mazoezi ya kubeba kapu la mama.
Duuuh naona unampango wa kunyanyua mtu....komaa mzee pamoja sana...
 
Amen
Thank you Lord for this blessed assurance and for everything and
for families., relatives and friends and Lord Thank you for enemies, work in our hearts to be friends through the Love of Christ in Jesus
Name Amen.
 
Mawazo yangu yakanipeleka kwamba kuna mtu amekutumia PM hayo maneno kwenye uzi, sasa wewe umeyapenda kwa kuappreciate ukaona bora utushirikishe na sisi tuone tuchangie na ikiwezekana tukupe pongezi
=>ghafla nakutana na post ya bonny
Haha haki. Me nilijua mtu ananisema naandikaga sana magazeti. Sasa ile naona avatar nikabaki sielewi, najiuliza mbona sijaanzisha uzi haha mwee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom