Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,233
- 8,779
Hii mada ni sensa inayotaka suala la dini liwepo au ni ya ushoga? Idadi ya dini kwangu si tija kabisa maana dini yako hainihusu kabisa mimi wala dini yangu si suala linalokuhusu wewe. Sasa hivi tuko kwenye michango ya kujenga nyumba ya ibada, hata kama najua dini yangu ni half the number of ppopulation, how does that help?
kwa hivyo hata mashoga wakiamua kuoana makanisani ni hiari yao wenyewe au sio mkuu maana serikali haina dini ?