Anazimia akitaka kupitia, hili ni tatizo gani?

Anazimia akitaka kupitia, hili ni tatizo gani?

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,684
Reaction score
6,409
Nina mvulana ambaye natarajia awe mume wangu. Uhusiano wetu una miezi nane sasa na tunaweka mambo sawa ili tuishi pamoja.
Miezi hii miwili amekuwa Na tatizo, akikaribia climax anapoteza fahamu na mapigo ya moyo yanakuwa chini sana kwa kipindi cha kama dakika 18-22.
Kuanzia mwezi huu umeanza nilimwambia simpi TAMU hadi twende hospital, tujue tatizo ni nini na tunalitatuaje.
Amekuwa mbishi sana kwenda hospital Na Kila siku anaibua kusingizia kipya.
Leo asubuhi nilitoka kwenda sokoni kununua mahitaji, safari yangu ilikuchukua kama dakika 50 ndio nikarudi nyumbani.
Nilipo fika nyumbani milango ilikuwa wazi, nikaenda jikoni na kubwaga mazagazaga yangu kisha nikaingia chumbani. Nilichokikuta kiliniacha mdomo wazi. Nikamkuta Mr suruali iko magotini, pembeni kuna Vaseline, dudu imejaa mafuta, Na amezimia. (Nadhani baada ya mimi kumnyima mwezi wote huu wa tatu akaamua kufanya punyeto)
Jamani naombeni msaada je hiki kinachomsumbua Mr ni ugonjwa wa kawaida, majini au amerogwa?
Nimeshindwa hii post yangu niweke jukwaa gani sahihi JF Dr. Au Jukwaa la mapenzi.
Moderator utanisaidia kwa namna itakavyofaa
 
Kwani hilo tatzo mwanzoni halikuwepo????? Au hajawahi fanya kabla ya ndoa??? Hapoo waambie wazazi wake muende hospital... Nkajua anazimia kisa utamua wa mak...u kumbe akitaka kupiga bao tu chaliii
 
Kama mwanza hakuwa hivo na imedevelipe hivi sasa

Muulize kawaida mwanmme akikaribia au kufikia mshindo pressure yake inakuwa juu sana na mapogo ya moyo yanakuwa juu
Kama mapogo yamoyo yanashuka kuna uwezekano anatumia dawa za kuongeza hamu
Dawa hizi huwa zinashusha pressure kwa kufanya peripheral dilation ili mbo...lo ipate damu na iendelee kudinda kadiri anavyooendelea ndo inashuka na kitu kinachotokea ni kuwa damu haiendi ya kutosha kwenye ubongo

Hivo mwambie aache ajiMini na atumie chakula cha kubust

HoN
 
matatizo mengine yanachekesha kidogo.
Vipi huyo mvulana wako ana umri gani?.
Historical background yake katika kupiga dushe ipoje?.
Tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom